Pep Guardiola aachana na mkewe baada ya miaka zaidi ya 30 kuwa pamoja

Pep Guardiola aachana na mkewe baada ya miaka zaidi ya 30 kuwa pamoja

Ha
We ni noumer; umevaa na jersey ya Man City kabisa kabisa yaani.

Swali la kizushi; hivi kwa umri huo, huyo mwanamke anaenda wapi? Kama walikua wakiishi wote England (hope na Ujerumani walikua pamoja ) means mwanamke hakua na kazi, now at that age si ni kama kwenda kulipatia taifa hasara tu ya kuanza kulea wazee?
Wezi kosa pakwenda. Wanaowafundsha kuwa wanaweza na waskubali kuwa chini ya mwanaume watamuwa walimfundsha kuishi single. Hiyo huruma yakwamba wataishije baada ya kuachana sio kaz ya Guadiola.
 
Kama mama kanaenda kutafuta dogo dogo wa kumsugua sugu 😀
So hi challenge ya mishangazi ni worldwide, right? Ahaa nimekumbuka, kuna na yule namba 1 wa France, alipataga lishangazi na hatimae lilimuoa kabisa yaani
 
Kitu kinachonifurahisha kwa mazungu ni mawazi sana.

Yaani ile notion ya kwamba "ukikosea kuoa basi totally umeharibu kesho yako mazima"

Kwamba halipo dirisha tena mbeleni, la kurekebisha dosari zitakazoletwa na mke asiye chaguo sahihi.....hivi ni viapo vya kiboya sana, vinavyotesa waswahili tu.
 
Hiyo kitu mkuu umeongea ukwel mtupu. Kioja sasa nkwamb hata kwenye nyumba za ibada wanafundsha rejea za beijing na sio maelekezo ya vitabu vitakatifu.Yaan hii vita inatisha saana ila ndo ivo sasa waoaanaji wanacheza beat la lucifer,coz kama ulvyosema its well planned confict.
sasa unajua,MUNGU ameanza kukasirika,naona umeona MOTO unavowaka CRLIFONIA{jiji la shetani,HOLWOOD]unaambiwa pamoja na tchnojia ya juu waliyo nayo wamarekani lakini moto umewaumbua,mpa BIDEN kaamua kuilazimisha ISRAIL kusitisha vita na HAMAS[akifikiri ndio sababu]lakini ukjia upande mwingine vile,pale RUSSIA na UCRAINE''''NATO hawakuamini vita ingelikuwa ndefu na ngumu kiasi hiki'''unaamnbiwa,,,,wanajeshi kutoka ufaransa uingerza na mataifa yote ya NATO wanavaa uniform za wanajeshi wa UCRAINE,lakini wanauwawa kama mbuzi,ukija kwa UFARANSA walikuwa wakiwanyonya mataifa ya mangaribi ya AFRIKA kama BURKINA FASO.SENEGAL n.k lakini kwa sasa wanafukuzwa kama mbwa,,,ok,ok,ok....njoo kwa BRICKS,kwa sasa mataifa ya muungano huu kama RUSSIA,INDIA BRASIL,S.AFRIKA BELARUS!! muungano wao umezidi kuvutia nchia kibao duniani na juzi imeripotiwa kuna mataifa kama 20 yameomba kujinga kama THAILAND n.k,,,na lengo lao kubwa ni kuvunja uti wa mgongo wa MAREKANI[they want to fight against dollal]...na ujue DOLLAR ikianguka amerika imeanguka,,,ok,ok,,ukiacha hilo pia,,,kuna issue ya TRUMP,,,,huyu mzee TRUMP ni mlokole '''na keshasema akiingia ofisini ki2 cha kwanza kukataza utoaji mimba,ushoga na usagaji,ndo manake unaona wanajaribu sana kumuuua lakini MUNGU anamlinda!!!...ujue kama dola la ROMA lilivokuwa jeuri miaka yanyuma,mpaka MUNGU akashusha aya kwenye Q'RAN ikiitwa AL-RUMMI{ikisisitiza[ROMA MUST BE DEFEATED na kweli kwa sasa ROMA sio issue]],,,,,so UKOMBOZI UMEKARIBIA!!
 
Ujinga wenu mnamsingizia Shetani?

By the way Utafiti unaonesha mwaka huu wa 2025 Wanawake wengi watatifuana na maroboto kuliko wanaume
Q'ra
Ujinga wenu mnamsingizia Shetani?

By the way Utafiti unaonesha mwaka huu wa 2025 Wanawake wengi watatifuana na maroboto kuliko wanaume
shteatni yupo mazee na mawakala wake ni wapiga ramli,vibwengo,vinyamkela n.k,na pia,MUNGU yupo jamaa,mawakala wakala wake ni masheikh,mapadre,wachungaji .n.k...lakini kuna kiapo alichoapa shetani siku MUNGU alipomfukuza,,,,,kwanza aliambiwa amsujudie Adam,akakaa{QRAN],mungu amuuliza kwa nini unakataa,,,shetani akamjibu"mimi umeniumba kwa moto na upepo ila huyu adam umemuumba kwa udongo na maji,,,ah!!!!MUNGU akastuka na kumfukuza lakini iblis akamsihi MUNGU akimwambia"hakika naomba rhusu ya kuwajaribu ha bin-adam"MUNGU akamruhusu.....basi,,,,shetani akaapa"hakika nitawakabili hawa,juu yao,chiniyao,kushoto kwao, na kulia kwao na chini yao,,,,,"MUNGU akamwambia hakika watakao kufuata utaenda nao JEHANAM"............tatizo hamsomi,,,mnafikiria kuwa ku2mia makalio!!!,,,,,,
 
Back
Top Bottom