Hivi Kuna club wanavunja bank kama man city, hapo Kuna mchezaji chini ya pound milioni 35? Labda akanji tu, nitajie mchezaji hapo ambao hawajatoa zaidi ya pound milioni 40?Kuna mchezaji city wamenunua kwa kuvunja bank?
Si wa kawaida tu toka bornamouth Ake,
Goal keeper wa city ederson alitokea wapi?
John stone ametoka wapi?
Laporte je wapi
Akanji wapi?
Ushawaona hao wana takiwa ata na team kubwa?
Huyo ndiyo Coach sasa anaangalia talents zisizo na gharama
Huna akili, Gundogan si alikuwa Buyern Munich na Kiparangoto?
Unajua alikuwa analipwa mshahara kiasi gani?
Pep bila pesa ni Kopo tupu, kwanza kashatumia pesa tele ndiyo anatarajia kubeba UEFA CL mwaka huu na ni sababu tu klabu zingine hazijawa na Makocha wakubwa kiushindani zaidi ya Liverpool tu ambayo inaminywa kiuwezeshwaji wa pesa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hivi Kuna club wanavunja bank kama man city, hapo Kuna mchezaji chini ya pound milioni 35? Labda akanji tu, nitajie mchezaji hapo ambao hawajatoa zaidi ya pound milioni 40?
Hivi Kuna club wanavunja bank kama man city, hapo Kuna mchezaji chini ya pound milioni 35? Labda akanji tu, nitajie mchezaji hapo ambao hawajatoa zaidi ya pound milioni 40?
City na man u team ipi iliongoza kutumia pesa?Hivi Kuna club wanavunja bank kama man city, hapo Kuna mchezaji chini ya pound milioni 35? Labda akanji tu, nitajie mchezaji hapo ambao hawajatoa zaidi ya pound milioni 40?
Uliposema GUNDOGAN alikuwa buyern nmeacha kusoma embu leta picha ya Gundo aikiwa buyern nikupe buku 10 la chaiHuna akili, Gundogan si alikuwa Buyern Munich na Kiparangoto?
Unajua alikuwa analipwa mshahara kiasi gani?
Je Mahrez alikuwa anakichafua vipi akiwa Leicester City kabla hajaja Mwa-City?
Pep bila pesa ni Kopo tupu, kwanza kashatumia pesa tele miaka 7 Etihad ndiyo anatarajia kubeba UEFA CL mwaka huu na ni sababu tu klabu zingine hazijawa na Makocha wakubwa kiushindani zaidi ya Liverpool tu ambayo inaminywa kiuwezeshwaji wa pesa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Gundogan alitokea wapi kama si German kuja UK?Mmmh Gundogan kashawahi kucheza bayern[emoji23][emoji23][emoji23] wewe mpira unafuatilia kweli ? Nitajie hao makocha makubwa kwa ushindani pep kashawahi mfanya fergie atetemeke !!!
Huna akili, Gundogan si alikuwa B Dortmund?Mmmh Gundogan kashawahi kucheza bayern[emoji23][emoji23][emoji23] wewe mpira unafuatilia kweli ? Nitajie hao makocha makubwa kwa ushindani pep kashawahi mfanya fergie atetemeke !!!
Wote hao watumiaji wa pesa vizuri tu, usilete porojo kua pep hatumii pesa nyingi kwenye usajiliCity na man u team ipi iliongoza kutumia pesa?
Wote hao watumiaji wa pesa vizuri tu usilete porojo kua pep hatumii pesa nyingiNitajie mchezaji pia wa man utd ambae ni chini ya pound milion 40 ? Ipo man utd , chelsea na hata arsenal recent!! Maguire kanunuliwa bei gani? Laporte stones bei gani ? Pogba bei gani na Gundogan bei gani? Pepe bei gani na bernado silva bei gani? Anthony bei gani na sancho bei gani?
Yupo kikosi Cha kwanza?Sergio Gomez amenunuliwa kwa (£11m).
Alitokea B Dortmund ila si tayari alikuwa kwenye pick ndiyomaana alisajiliwa, weka hapa rekodi za Gundogan akiwa B Dortmund kabla hajasaini Mwa-City 2016 ili ujione jinsi ulivyo Kilaza [emoji847]Uliposema GUNDOGAN alikuwa buyern nmeacha kusoma embu leta picha ya Gundo aikiwa buyern nikupe buku 10 la chai
Chuki binafsi tu Kwa Zizou Mzee Baba, UEFA CL 3 straight winning si bahati kabisa [emoji1787]Kwangu Pep n bora zaidi ya makocha wengine kwa ujumla ila kila kocha analadha yake mfano Fergie,Wenger,Don Carlo,Mourinho,Klopp,Hykes,Ranieri,Unai,N.k.
Zidane ni kocha makini zile yuefa 3 nitachelewa kuamini ni bahati[emoji23][emoji23][emoji23]
Team gani kubwa iliyomtaka akiwa uko boss?Alitokea B Dortmund ila si tayari alikuwa kwenye pick ndiyomaana alisajiliwa, weka hapa rekodi za Gundogan akiwa B Dortmund kabla hajasaini Mwa-City 2016 ili ujione jinsi ulivyo Kilaza [emoji847]
Mistake of fact isikupumbaze akili kujiona umeshinda hoja [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Epl 3 kwa pepChuki binafsi tu Kwa Zizou Mzee Baba, UEFA CL 3 straight winning si bahati kabisa [emoji1787]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa mbona wwngine wanatumia na hawafanyi vizuriWote hao watumiaji wa pesa vizuri tu usilete porojo kua pep hatumii pesa nyingi
Mpende wewe pekee inatosha usitulazimishe wengine kulipenda hilo baguzi kuu la rangi nyeusi toka Africa [emoji16]Epl 3 kwa pep