Hapo sasa si ndio unadhihirisha kuwa pesa haifanyi timu kuwa nzuri? Chelsea ya 2021 haikutumia pesa kuliko Chelsea ya 2023, Ila ya 2021 ilipata mafanikio.Makocha walioletwa Chelsea FC waliwahi kubeba kombe gani?
Chelsea FC ya 2021 iliyobeba UEFA CL na Man City ipi ilikuwa imetumia pesa nyingi sana kwenye usajili?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndio hapo sasa. Uwe CEO voda, tigo, airtel. Alafu kesho uende kuajiriwa kibanda cha mpesa mburahati? Inawezekana vipi?Hyo ni class yake aliyoitengeneza ndiyo maana hawezi takiwa na team za kipumbavu sanabu ana misimamo mno
Pesa inafanya kazi vizuri sana tu, mbona kipindi Tajiri Abrahamovich alipokuwa Chelsea FC ilipata mafanikio mengi zaidi kuliko klabu zingine UK?Hapo sasa si ndio unadhihirisha kuwa pesa haifanyi timu kuwa nzuri? Chelsea ya 2021 haikutumia pesa kuliko Chelsea ya 2023, Ila ya 2021 ilipata mafanikio.
Point yangu ilikua hapo kuwa hata uwekewe pesa kiasi gani kama huna mbinu huwezi pata chochote
Umeelezea vizuri mno. Nimeona hata aibu kuchangia. Nitachangia nini sasa...hakuna.Mkuu bado Sir alex bado atakuwa top may be Pep the second one
Km uefa hata zidane amechukua tatu ndani ya miaka mitano huwezi kusema zidane alivyo bahatisha uefa zile ndio awe bora kuliko Pep kwasababu ya uefa
Sir Alex amehudumia kwenye era zote mbili old na modern football and he concered it all
Remember old football ya ulaya ilijaa rushwa pia zile trophy za madrid nyingi watu wanazi question
Kwenye kitabu cha fagason anamnukuu muasisi wa toto football john cruiffy
Ferguson hutashinda taji la ulaya km hutoi rushwa
Ferguson alijibu km ilinishinde lazima kutoa rushwa basi sitatoa
To me Sir Alex f ni best coach ever kwasababu alidevelop young players na few big signing
Pep is second
Wanawaza upumbavu sana watuNdio hapo sasa. Uwe CEO voda, tigo, airtel. Alafu kesho uende kuajiriwa kibanda cha mpesa mburahati? Inawezekana vipi?
Yaani kabisa wanataka pep atoke kwa mafanikio Barca alafu aende kufundisha West Ham?
WC?Jose Mourinho ndio baba lao, huyu mwamba Hakuna taji ambalo hajashinda
Nilitaka kusema pesa za usajili zinamsaidia sana ola na makocha wengi wa kisasa.Wanapata wahitajicho sababu ya fedha.Mna utd ilikua na wachezaji wa kawaida?
Peter schmeichel
Roy kean
Cantona
Stam
Yorke
Cole
Giggs
Scholes
Beckham
Hao ni wa kawaida?
Mwambie aitazame new castlle ya leo.Pesa inafanya kazi vizuri sana tu, mbona kipindi Tajiri Abrahamovich alipokuwa Chelsea FC ilipata mafanikio mengi zaidi kuliko klabu zingine UK?
Bodi ya Chelsea FC chini ya TB ndiyo iliyopuyanga kuweka Makocha hovyo HP na FL ambao hawakuwahi kuwa na uzoefu wa kubeba kombe lolote kiubora zaidi ya kuwa midtable teams tu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wanakaza tu mafuvu ila ukweli wanaujua vizuri sana tu hao Mashabiki wa Man CityMwambie aitazame new castlle ya leo.
Kwani etoo unamuona ana akili sana?Kushinda EPL 13 Sio ushuzi acha kumlinganisha Fergie na Vitu vya ajabu.
Etoo aliwahi ulizwa kati ya Pep na Jose nani Kocha Mkubwa kwake akajibu kwa swali zuri tu
Mmoja alishindwa kutwaa UEFA na Bayern Mwingine akatwaa na Porto we utaenda na Nani hapo?
Sergio Gomez amenunuliwa kwa (£11m).
Kamba hii , Liverpool ya Jurgen ile ndo haikuwa kwenye ubora ? au ile Bayern ya kuchukua ligi nusu mzunguko wa pili au PSG ile ilikuwa inatawala Ligue 1 , uzuri ktk UEFA zote zatu Zidane alikutana na miamba ya ligue kuu 5 yaan Juventus , Bayern , PSG , Atletico , Liverpool /Man City wote hawa walikula gongo za maanaKazi ya zidane haijaonekana Uefa cups wanasema he was lucky kikosi kilikuwa kwenye pick na timu nyingi ulaya hazikuwa kwenye pick
Una Ronaldinho , Messi , Etoo kwann usishinde ?Fergusson alipigwa na Guardialo hadi akatetemeka. Ferguson kafanikiwa klabu moja tu. Gurdialo kamuacha mbali sana Ferguson.
Unajua hadi sasa bado hujaeleweka unabisha kitu gani, hapo sasa si ndio uelewe pesa bila kocha bora hakuna mafanikio? Chelsea pamoja na kusajili sana lakini walihitaji kocha bora kama Mourinho. Ndio maana unaona walipofanya vibaya makocha walikua sackedPesa inafanya kazi vizuri sana tu, mbona kipindi Tajiri Abrahamovich alipokuwa Chelsea FC ilipata mafanikio mengi zaidi kuliko klabu zingine UK?
Bodi ya Chelsea FC chini ya TB ndiyo iliyopuyanga kuweka Makocha hovyo HP na FL ambao hawakuwahi kuwa na uzoefu wa kubeba kombe lolote kiubora zaidi ya kuwa midtable teams tu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hebu twende taratibu hapa, ili pep achukue Europa league ni lazima ashiriki hilo kombe. Kwa uwezo wake anaweza vipi kucheza eurola league? Maana inabidi umalize nje ya top four kwenye league, au uishe hatua ya makundi kwenye champions leagueJose Mourinho ndio baba lao, huyu mwamba Hakuna taji ambalo hajashinda
Ila we jamaa unamasihara Sana [emoji23][emoji23]Ila kikosi Cha mancity hata mi nikipewa ukocha timu nyingi tu ntakua najipigia,