Pesa ya usajili hata iwe nyingi kiasi gani, Kama huna mbinu nzuri hutaweza kufanya chochote.Nilitaka kusema pesa za usajili zinamsaidia sana ola na makocha wengi wa kisasa.Wanapata wahitajicho sababu ya fedha.
Hiko ni kitu cha ajabu, why Alishindwa kutwaa na Madrid tena akiwa na wachezaji wote Bora, Ronaldo, kaka, Ramos, Marcelo, ozil, benzema, di Maria, higuain, khedira, xabi Alonso, carvalho, pepe,Kushinda EPL 13 Sio ushuzi acha kumlinganisha Fergie na Vitu vya ajabu.
Etoo aliwahi ulizwa kati ya Pep na Jose nani Kocha Mkubwa kwake akajibu kwa swali zuri tu
Mmoja alishindwa kutwaa UEFA na Bayern Mwingine akatwaa na Porto we utaenda na Nani hapo?
MuislamKwann zidane hasemwi Sana
Babu Kwa umeneja sawa lakni ukizingumzia kocha Bora hkna kma pep ndio ukweli soka lake hpna kma yeyePep anabaki kuwa kocha bora saana, kwa soka analofundisha.. kibabu fergie huenda tukampa heshima ya meneja mzuri ama bora.
Kma kweli mwalimu afundishe timu yoyote tuone hakuna kitu pale timu ilikuwa sawasawa IleKazi ya zidane haijaonekana Uefa cups wanasema he was lucky kikosi kilikuwa kwenye pick na timu nyingi ulaya hazikuwa kwenye pick
Pep hakumkuta ronaldinho pale Barca, ronaldinho akiondoka mwaka huo ambao pep ndio alianza na Barca. Uwe mfatiliajiUna Ronaldinho , Messi , Etoo kwann usishinde ?
Timu nyingi tu pale najipigia, nikishapanga majini yangu kina haaland, nawaambia tu wazee chezeni kama kawaidaIla we jamaa unamasihara Sana [emoji23][emoji23]
Bosi wao yupo au kwako hilo ni dogo, timu iliharibiwa na vita.Pesa ya usajili hata iwe nyingi kiasi gani, Kama huna mbinu nzuri hutaweza kufanya chochote.
Nakutolea mfano. Chelsea mwaka huu wametumia zaidi ya pauni mil 500 kununua wachezaji kwa gharama kubwa. Ndio timu iliyotumia pesa nyingi kuliko timu yoyote kwenye dirisha moja la usajili. Vipi Graham Potter alifanikiwa kuifanya Chelsea kuwa bora?
Man utd tokea 2016 wametumia pesa nyingi kuliko man city kwenye usajili, vipi wamefanikiwa kuliko city?si wameishia kufukuza makocha kila muda
Shida siyo kufunga ila shida kukuinda kikos kufika hapo kilipo kumbuka hela siyo kila kitu PSG wale pale wanamwaga hela ila mpka leo hawajahi kua na timu tishioIla kikosi Cha mancity hata mi nikipewa ukocha timu nyingi tu ntakua najipigia,
Nashukuru umejiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe, ila reference yangu kipindi cha Abrahamovich kilishanipatia points 3 kuwa Chelsea FC ilitumia pesa nyingi kiusajili na ilifanikiwa kubeba makombe mengi tu sababu ilikuwa inaajiri Makocha wazuri ila 2023 bodi ya Chelsea FC ndiyo iliyojiharibia yenyewe kuleta Makocha hovyo ambao hawakuwahi kuwa na mafanikio ya kombe lolote zaidi ya kuwa midtable teams tu.Unajua hadi sasa bado hujaeleweka unabisha kitu gani, hapo sasa si ndio uelewe pesa bila kocha bora hakuna mafanikio? Chelsea pamoja na kusajili sana lakini walihitaji kocha bora kama Mourinho. Ndio maana unaona walipofanya vibaya makocha walikua sacked
Kumbe lazima kocha awe mzuri? Ulikua unakataa nini kama pep ni kocha mzuri?Nashukuru umejiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe, ila reference yangu kipindi cha Abrahamovich kilishanipatia points 3 kuwa Chelsea FC ilitumia pesa nyingi kiusajili na ilifanikiwa kubeba makombe mengi tu sababu ilikuwa inaajiri Makocha wazuri ila 2023 bodi ya Chelsea FC ndiyo iliyojiharibia yenyewe kuleta Makocha hovyo ambao hawakuwahi kuwa na mafanikio ya kombe lolote zaidi ya kuwa midtable teams tu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Miaka 7 yote alikuwa wapi kuwa na uzuri huo kuleta kombe jipya Etihad tofauti na EPL na FA ambayo hata Makocha Mancini na Pellegrin waliyabeba?Kumbe lazima kocha awe mzuri? Ulikua unakataa nini kama pep ni kocha mzuri?
Kaleta kipi cha tofauti? Hivi hapaMiaka 7 yote alikuwa wapi kuwa na uzuri huo kuleta kombe jipya Etihad tofauti na EPL na FA ambayo hata Makocha Mancini na Pellegrin waliyabeba?
Kutumia pesa kiasi gani ilihali Mwa-City walishawahi kufika nusu fainali za UEFA CL 2016?
Kaleta kipi kipya haswa ambacho hakikuwahi kufanywa na Makocha waliopita Etihad?
Ukikaza fuvu kwa hayo maswali pia nakupuuza maana hunilipi kukupatia elimu bure.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
5 ni rekodi inayoshikiliwa na Chelsea FC EPL.Kaleta kipi cha tofauti? Hivi hapa
1) kafika final champions league mara 2
2) kachukua epl Mara 3 mfululizo
3) kachukua carabao mara 4 mfululizo
4) kaweka record ya kuchukua ubingwa kwa points 100(Hakuna timu epl imefanya hivi)
5) kaweka record ya kufunga magoli mengi epl ndani ya season 1
6) kaweka record ya kushinda mechi 19 mfululizo kwenye epl
7) kwenye mechi 100 epl ndio kocha aliyeshinda mechi nyingi.
5 ni rekodi inayoshikiliwa na Chelsea FC EPL.
6. Tayari Arsepimbi walishakuwa nayo EPL kitambo sana.
Hakuna kipya zaidi ya kuendelea kutumia mapesa tu
Tusichoshane, mpende wewe Kiparangoto wako si lazima tumpende wote ila Klopp ni bora mara 10 zaidi kuliko Pep, nimemaliza.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na huu ndio ukweli.Kazi ya zidane haijaonekana Uefa cups wanasema he was lucky kikosi kilikuwa kwenye pick na timu nyingi ulaya hazikuwa kwenye pick
Hawa ndio tunawaita walimu wa mpira. Anceloti ni mzuri saana kwa kumsoma mpinzani na kukabiliana nae.Anaemtaja Ferguson ni shabiki wa Manchester United na ambao wengi wapinzani wa Barca, ukweli usemwe Guardiola is football, Johan Cryfu is top, Vicente Delbosque, Anceloti akiwa AC Milan, Arsene Wenger, Luciano Spallet wa AS Roma
Hata kwa Bayern ilikuwa hivyo, maboss wanamwaga ela, yeye anapata kila anachokitaka. Aliikimbia Barca baada ya kuona falfasa ya Tiki Taka ikienda ukingoni.Pep bila hela hamfikii ubora hata Kocha Mgunda, hutembelea klabu ambazo tayari zilishafanya vizuri na Mabosi wake humwaga mahela tele kama Waarabu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Halafu alitumia wachezaji wa kawaida sana.