Kaangalie pesa aliyonunuliwa wan bissaka na Maguire.
Man utd wametumia pesa nyingi kwenye usajili kuliko pep, vipi mbona makocha wa utd hawajaipa mafanikio utd?
Pep hakumkuta ronaldinho pale Barca, ronaldinho akiondoka mwaka huo ambao pep ndio alianza na Barca. Uwe mfatiliaji
Etoo amekaa na pep msimu mmoja tu, akaachana nae. Wengi walibeza pep kumuacha etoo, lakini alikua anajua nini anafanya.
Barca kabla ya pep ilikua na utawala wa Ronaldinho, Etoo na Deco. Lakini pep alivyofika alitengeneza wake Xavi, iniesta na Messi.
Pep pale Barca alipenda kutumia zaidi youngsters wa la masia, ndio maana unaona hata kwenye beki wa Kati alimtumia pique na kuachana na Marquez, kwenye kiungo wa chini alimuinua busquets na kuchana na Yaya toure
Pembeni alimuinua pedro
Huna fact heateryupi alionekanwa na bora na nani? Acha kujitekenya ndugu
Pedro, Busquets, Alcantara , nani kawapikaacha uzushi, Pep hakuwatengeneza Iniesta, Messi na Xavi . aliwakuta tayari wakiwa kwenye ubora.
Huna fact heater
Pedro, Busquets, Alcantara , nani kawapika
Ake yuko vizuri toka yupo Chelsea, kukosa muda wa kucheza ndio akaomba auzwa akauzwa BournemouthSasa huyu si ni sawa na sergio gomez tu! Hakuna timu isiyotoa hela kwasasa .
Pep anaonekana genius on how he approach the game, bernado silva anacheza left back na anaupiga mwingi tu, stones ametoka everton the way anavyocheza under pep ni tofauti kabisa na angecheza under coach yeyote yule. Pep is a genius !
Ake akanji na laporte wamekuja kama normal players wote hata rodri the way anavyocheza saivi ni tofautiii na alivyokuwa anacheza under simeone !!
Alie watumia wakampa mafanikiokwa matiki hiyo, kati ya mtu aliewapika hao na aliwapika Iniesta na Messi nani atakuwa bora?
Alie watumia wakampa mafanikio
5) unasema Chelsea nfio anashikilia hiyo record? Msimu wa 2017-18 man city waliweka record kwa kufunga goals 106, Chelsea alikua na 1035 ni rekodi inayoshikiliwa na Chelsea FC EPL.
6. Tayari Arsepimbi walishakuwa nayo EPL kitambo sana.
Hakuna kipya zaidi ya kuendelea kutumia mapesa tu
Tusichoshane, mpende wewe Kiparangoto wako si lazima tumpende wote ila Klopp ni bora mara 10 zaidi kuliko Pep, nimemaliza.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Man utd wanao watanoSababu gani hii ya kitoto?!
Kama issue ni kuwa na center backs watano basi kila timu ikasajili CB watano!.
Kocha atakaa kwenye timu misimu minne bila kusajili kabisa? Hapa tunaongelea volume ya usajili haikua kubwa.Barca haikuwa na hela?
Zlatan, David Villa, Alves, Sanchez, Hleb, Maxwell, Mascherano, Fabregas wote walitinga Barca kipindi cha Pep, hawa vipi walikuja bure?
Maguire wa euro milion 100 alikua anajulikana kwa ububwa huo?kwanini unakwepa hoja? Rudi kwenye hoja mchezaji aliesajiliwa kwa 70 m anakuwaje kuwa hajulikanwi? au ulikuwa humjui wewe tu?
Alafu ronalidho, deco etoo, Henry, Yaya toure, giuly, edmilson, van bommel walikua wanacheza vipi?acha uzushi, Pep hakuwatengeneza Iniesta, Messi na Xavi . aliwakuta tayari wakiwa kwenye ubora.
Alafu ronalidho, deco etoo, Henry, Yaya toure, giuly, edmilson, van bommel walikua wanacheza vipi?
Au walikuwa wanacheza 15 uwanjani?
Kaangalie Barcelona vs arsenal 2006. Alafu angalia first eleven kama utamuona xavi au iniesta wakiwemo, xavi hata sub kuingia hakuingia. Achilia mbali Messi ambae hata bench tu hakuwepo
Kiungo ya Barca ilikuwa na Van bommel, edmilson na deco
Ronaldinho anatokea pembeni, winga nyingine Giuly. Hiyo ndio ilikua Barca.
Alafu ronalidho, deco etoo, Henry, Yaya toure, giuly, edmilson, van bommel walikua wanacheza vipi?
Au walikuwa wanacheza 15 uwanjani?
Kaangalie Barcelona vs arsenal 2006. Alafu angalia first eleven kama utamuona xavi au iniesta wakiwemo, xavi hata sub kuingia hakuingia. Achilia mbali Messi ambae hata bench tu hakuwepo
Kiungo ya Barca ilikuwa na Van bommel, edmilson na deco
Ronaldinho anatokea pembeni, winga nyingine Giuly. Hiyo ndio ilikua Barca.
2006 alafu pep akaenda misimu mitatu mbele? 2008 ni misimu mitatu mbele?unaongea kama mtu uliechanganyikiwa, Messi alikosa finali sababu ya Injury, na kwa kukusaidia tu Pep alikuja miaka mitatu mbele baada hiyo final, Kuanzia msimu aliofuta tu hao wote walikuwa ni staters. Na acha kutaja wapuuzi kama Yaya toure tunapowazungumzia World Class Players.
Kocha atakaa kwenye timu misimu minne bila kusajili kabisa? Hapa tunaongelea volume ya usajili haikua kubwa.
Alipendelea zaidi kutumia vijana wa la masia ndio maana unaona wanasema alikua na upendeleo kwa wakatalunya wenzake