Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupi huyo anayemteteaHili ni jibu sahihi naomba moderator wafunge huu mjaadala.
Nb mbona huyo anayemtetea haonekani popote duniani zaidi ya hapo alipoanzia maisha? na anapomalizia.
Kwanini Man u?Sanasana mashabiki wa man u
Mbumbumbu hawawezi kumuelewa alichozungumza ila watabaki na ushabiki tu
Hizo team pia unazohamia una mchango gani? Kuhama team pia kuna mantiki, je utaendelea kuwa na mchango uleule?Kumbe pointi kuhama timu sio kigezo cha muhimu ka unafanya kazi yako ipasavyo.
Dan Alves timu zote alizopita amechukua makombe. Kucheza ligi moja haikuondolei ubora wako
Na yeye aje aifundishe YANGA tuone Ubora wake[emoji12]Yupo sawa. Kama Ronaldo anatafuta changamoto basi ajiunge na Aston villa.
Gudiola na luc emayai wote wachawiKumbe na wazungu wanakuwaga na wivu? Angekua mweusi ningesema mshirikina huyu.
Sasa Juve kuna changamoto gani misimu karibia 10 Italy hana mpinzani??Kumbe na wazungu wanakuwaga na wivu? Angekua mweusi ningesema mshirikina huyu.
Ronaldo ameisaidia Juve?? Juve hata kabla yake ni dominant pale, hakuna alichosaidia hata kama anafunga namna gani..Binafsi alichoongea hakiingii akilini.
Kwanini? Tubase kwenye mfano wa Danilo alioutoa, Danilo kiwango chake hakijawahi kua na consistency, sasa hivi yupo Juve lakini anacheza? Anapata namba? Namba yake inachezwa na midfielde Cuadrado.
Kiwango chake ni kibovu kiasi wao wenyewe City walimtupa.
Turudi kwa Ronaldo. Kiwango chake unakionaje? Msimu huu ana zaidi ya magoli 30 yupo yeye, Lewandowski na Immobile katika hiyo level.
ROnaldo timu ikiwa inachukua ndoo na yeye mchango wake utauona. Hivyo haendi tu kujaza nafasi kwenye benchi, kiwango chake kinaongea. Sasa muulizs Guardiola mara ya mwisho UEFA alichukua na timu gani na nini kinamzuia nyakati hizi.
Madrid amechukua Ligi kuu, CL imesimamishwa vipi kuna maneno hapo??Tukitoa magoli aliyofunga Ronaldo Juventus bado atakua bingwa? tutoe magoli aliyofunga Ronaldo akiwa Real Madrid je Real Madrid wangechukua UCL? maisha ya real Madrid baada ya kuondoka CR7 yapo sawa na zamani?
Baba tangu Juve ashuke daraja na kurudi amekua dominant lakini individual records za Juve zilikuaje? Dybala akawa mfungaji wao bora, unajua alikua na magoli mangapi? 15.Ronaldo ameisaidia Juve?? Juve hata kabla yake ni dominant pale, hakuna alichosaidia hata kama anafunga namna gani..
Juve walimchukua Ronaldo awasaidie kushinda CL na sio Serie A. Vipi ameshinda CL akiwa na Juve??
Lazima uangalia kwanza hizo team unazo zitaja zinaweza kulipa ada ya uhamisho ya pound ml.100,zinaweza mlipa 1.5 biltsh kwa weak,na huduma nyinginezo za kironaldo.Sasa Juve kuna changamoto gani misimu karibia 10 Italy hana mpinzani??
Angekuwa anataka changamoto angeenda Inter au Napoli au hata Roma.. Juve hata bila yeye wangeshinda tu Serie A. He is just icing his cake
Kuwa dominant kwenye ligi haimaanishi hakuna changamoto.Sasa Juve kuna changamoto gani misimu karibia 10 Italy hana mpinzani??
Angekuwa anataka changamoto angeenda Inter au Napoli au hata Roma.. Juve hata bila yeye wangeshinda tu Serie A. He is just icing his cake
Nilishasema huko juu, Ronaldo pale Juve he is just decorating his resume. Huwezi seriously kumsifu Ronaldo eti kaishindisha Juve Serie A, ni ukichaa aisee..Baba tangu Juve ashuke daraja na kurudi amekua dominant lakini individual records za Juve zilikuaje? Dybala akawa mfungaji wao bora, unajua alikua na magoli mangapi? 15.
Ronaldo ana magoli mangapi tangu aende? Individual records za miaka ya 60 ndiyo zinavunjwa leo na Ronaldo. Kudai kwamba wamemleta Ronaldo ili washinde CL sidhani kama ni sahihi, kwakua Buffon mwenyewe aliondoka Juve na kwenda PSG ili ashinde CL kilichompata tunakijua na Juve haikuwahi sema Ronaldo kaja kwaajili ya CL.
Haya msimu uliopita walifanya comeback kwa Atletico, uliuona mchango wa Ronaldo au haukuuona? Na si ni yeye ndiye aliahidi lazima watafanya comeback? Halafu Simeone akasema wakifanya comeback anaenda kuuza matikiti. Comeback ikafanywa, Ronaldo akachangia comeback na Simeone hakwenda kuuza matikiti.
Huo msimu Guardiola akatolewa na Tottenham.
Danilo alikua na mchango gani kwa Madrid? City? Juve? Na Ronaldo anazeeka.
Na yeye aende kufundisha brentford awape ubingwa wa UCL[emoji23]Sasa Juve kuna changamoto gani misimu karibia 10 Italy hana mpinzani??
Angekuwa anataka changamoto angeenda Inter au Napoli au hata Roma.. Juve hata bila yeye wangeshinda tu Serie A. He is just icing his cake