Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Nakubaliana na Wewe, watu walisema eti oooh huyo EPL hawezi. Ni Spain tu na ujerumani. Kwa taarifa tu ni kwamba, Kiu kubwa ya Gardiola ni kushinda UCL akiwa na timu nyingine ukiacha Barcelona. Na kwamba, kumbuka hajafanikiwa kuchukuwa UCL alipokuwa na Bayarn ya ujerumanu.
 
Alisema hawezi badili mfumo wake hata kama man cty hawamwelewi bora aondoke kuliko kufanya wanachokitaka



Leo wameanza kumwelewa pont 11
 
Eti ila UEFA ASAHU. Sawa mchambuzi wa soka. Ila kumbuka mashabiki kama wewe, wengi mliema EPL hawezi, sahizi mnaona ana chanja mbuga mmebaki na kauri ya kwamba hawezi chukua UEFA.
 
Hawezi tena kushinda UEFA? Swali, Je! Emu taja makocha/timu ambazo zenyewe ni lazima zipo kushinda UEFA. Eti hawezi tena kushinda. Nakubaliana na Wewe kama UEFA huwa inashindaniwa kwa kubishana kwa
porojo kama hapa....
 
Atakapoichukua timu kama everton na wachezaji wake walivo kisha akaichukulisha kombe na kuifanya ikatisha kabla ya kuanza kumwaga hela ndipo nitakapomkubali Pep. Venginevyo namuona ni sawa tu
 
Ukiwa na kundi la world class players na superstars inakuwa kazi rahisi vile! I value more alichokifanya Ranieri kuchukua ubingwa na bunch of scrubs! Or SAF winning with them class of 92!
 
Kifupi huyo jamaa anaekupinga pasipo uthibitisho maalumu kaanza kufuatilia soka nadhani 2011 hapo hajui hata barcelona na messi walianzia wapi na pep kawakuta wapi achana na shabiki maandazi huyo
 
Bufa kaka ntakukumbusha baada ya Gudiola kubeba uefa
 
Kifupi huyo jamaa anaekupinga pasipo uthibitisho maalumu kaanza kufuatilia soka nadhani 2011 hapo hajui hata barcelona na messi walianzia wapi na pep kawakuta wapi achana na shabiki maandazi huyo

Pep kaanza kufundisha Barca B 2007, Messi game ya kwanza kuchezea Barca ilikua October 2004. Ni lini Pep kamfundisha Messi Barca B? Niambie huo mwaka tafadhali usilete ngonjera

Tatizo mnabisha kumbe hamjui kitu
 
Angalia kwa mda mfupi nan ana mafanikio zaid


pep kaanza barca kaja bayern now city



Mourinho kafundisha team kibao tena kubwa kwenye ligi zao




KWA haraka


Chelsea porto madrid man u inter n kaabza kitambo
Hana lolote anatembelea kivuli cha ela,akitoka pale utaskia kaenda psg
 
Eti ila UEFA ASAHU. Sawa mchambuzi wa soka. Ila kumbuka mashabiki kama wewe, wengi mliema EPL hawezi, sahizi mnaona ana chanja mbuga mmebaki na kauri ya kwamba hawezi chukua UEFA.

Unashangaa city kushinda EPL kwa pesa zote ilizospend unaacha kuishangaa Leicester! Ingekua ajabu kama city angekua hashindi, watu wote wafuatiliaji waliipa city kubeba EPL

UEFA is a whole different ball game. Kule mtoto halali na pesa. Kule kunawaliospend zaidi ya city, kule kuna viunzi vya kuruka vya aina zote, huko Pep asahau. Nikumbushe siku Pep akibeba UEFA ila naogopa hiyo siku haitakuja tena
 
Atakapoichukua timu kama everton na wachezaji wake walivo kisha akaichukulisha kombe na kuifanya ikatisha kabla ya kuanza kumwaga hela ndipo nitakapomkubali Pep. Venginevyo namuona ni sawa tu
sema Everton ikimsajili sio akichukua



n kumbuka kila professional coach anapoitaka team lazima ufate mashart yake so Everton atafanya kile Pep anataka
 
Ukiwa na kundi la world class players na superstars inakuwa kazi rahisi vile! I value more alichokifanya Ranieri kuchukua ubingwa na bunch of scrubs! Or SAF winning with them class of 92!
Majina yote ya man city players yamekuwa makubwa kwa sababu ya Pep n kumbuka ile top six yote ya EPL ina world class players
 
Kifupi huyo jamaa anaekupinga pasipo uthibitisho maalumu kaanza kufuatilia soka nadhani 2011 hapo hajui hata barcelona na messi walianzia wapi na pep kawakuta wapi achana na shabiki maandazi huyo
haya shabiki kitumbua



ambae huoni hata tofaut ya messi yule alokua na Guardiola na kila mwaka akisubir kupokea balon d O na huyu wa mandevu
 
Af so kwamba pep hawez enda vittim hivyo vidogo ila haviwaze ku mmanage kwa sasa labda a drop


mlisema la liga nyanya


kaenda bundesliga



mkasema Nayo ni ya team moja



Kaja EPL ya team zote bado anatamba




Mnaanza sema pesa na UEFA


you guys are not serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…