mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sijajua. Ila Mourinho kwangu atabaki kuwa namba moja. Kwenye ukocha. Mimi ni shabiki namba moja wa Mourinho. Japo kuwa Mimi ni shabiki wa new castle na Chelsea.Best kwa kupack Bus or?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua. Ila Mourinho kwangu atabaki kuwa namba moja. Kwenye ukocha. Mimi ni shabiki namba moja wa Mourinho. Japo kuwa Mimi ni shabiki wa new castle na Chelsea.Best kwa kupack Bus or?.
Usiishi kwa kukalili mkuu mourinho ni kama LwandiminaSijajua. Ila Mourinho kwangu atabaki kuwa namba moja. Kwenye ukocha. Mimi ni shabiki namba moja wa Mourinho. Japo kuwa Mimi ni shabiki wa new castle na Chelsea.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Special one.Usiishi kwa kukalili mkuu mourinho ni kama Lwandimina
NonsensePep alifanya barcelona iwe tamu kuliko hata dem ulomuahid ndoa
Pep alifanya messi aonekane mungu wa mpira
Alitengeneza kiungo hatari zaid duniani yaani Andres...sergio...Hernandez
Hakuwai kua nafas ya tatu akiwa la liga...yey alikua moja au mbili
Akaenda zake mapumziko marekani
Unamsikia kaenda bayern
Aisee Bayern anatangaza ubingwa,na mechi 5 mkononi
Bayern anatandaza soka mpaka unaeza shiba huku una njaa ya siku 3
Haters wanaanza ongea
Pep anaogopa epl
Sio muongeaji sana
anasogea Epl
kwa mara ya kwanza kwenye soka lake anashika nafas ya 3 akiwa na man city
Msimu wa pili anachukua wachezaje anaoamin anawatengeneza ili wafate falsafa yake
Leo hii man city anaweka record kila iitwapo leo
leo hii Kervin De Bruyne kila kukicha anaacha lawama
Sane amekua kama ana mapepo akiwa na mpira
Sterling kawa invicible
David silva kawa incredible
Ana kikos kipana na kizur mno
PEP GUARDIOLA umefanya niipende barcelona mpaka leo hii
come back to BARCA bro nataman kuhama nije city ila najua ukiondoka city ntakua na maumivu kama uloniachia barca na kutaman kuhama tena.....ntakua kama mwanamke malaya
WEWE NI KOCHA BORA TOKA DUNIA IANZISHWE NA SIDHAN KA ATATOKEA MWINGINE
Team zote alizopitia katengeneza yeyeMkuu ulioleta huu uzi nadhani umeanza kushabikia mpira 2009... Mkuu hivi unajua ile barca ndo ilimuweka juu Pep kuwa na nidhamu kwa mtu kama Sir.Alex ferguson miaka ile alikuwa tishio sana kuliko huyu Pep kikosi kinambeba Pep...ila jamaa ni average trainer
ranier nae anaeza enda city na akakosa ubingwaKocha mzuri sababu ya wachezai wazuri, tena wazuri kweli, je akifundisha wachezaji wa kawaida tu kama Leicester City kama Ranieri, na kutwaa EPL angeweza??!!
Ranieri anaeza pewa barca akakosa kikombe hata kimoja msimu mzimaRanieri, Mourinho, Ancelotti na wengine.. Pep ni above average coach ila sio best kama ambavyo wengi mnadai.
Toa fact za huo u nonsenseNonsense
ahhahahahaah in a space with aliensIf you look at EPL table, you will notice that the gap between United and city is too big and the gap between United and Chelsea is very close so is the rest of the teams.
Which means Man city is in another league [emoji2]
Unakumbuka kipindi gadiola anatangaza kuondoka barca? unakumbuka kabla ya kutangaza alicheza na madrid? je hiyo mechi iliishaje?A ha ha ha ha huyu Mou aliekuwa anapigwa 6_1,5_0.Na Pep?.
Ranieri anaeza pewa barca akakosa kikombe hata kimoja msimu mzima
Ranier aliipa LEICESTER ubingwa ila refer kwa klop aliipa Dortmund ubingwa tena baada ya kupanda daraja huko bundesliga
Mourinho ni vibaya kumuweka kama kocha bora wakat anacheza kwa kupak bas hata akikutana na wenger
Ancelot ni ujinga kumfananisha na Pep
hao wengine ungewataja af ungefafanuliwa
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Klopp aliipa ubingwa Dortmund iliyotoka kupanda daraja ila hajaipa liver iliyoshindwa hata kukaa mstar wa kushuka darajaKama Luis Enrique a failure in Italy alipofundisha Roma na Roma ilishindiwa kushiriki hata Europa League aliweza ipa Barca makombe ndo sembuse Ranieri aliyeipa kombe Leicester out of the blue! Hata Bashite akipewa Barca ya Messi atashinda kila kitu nae mtakuja hapa kusema hakujawahi tokea kocha kama Bashite
Nimeuliza je Luis Enrique nae ni kocha bora mithili ya Pep sababu nae kaipa Barca makombe yote ambayo Pep alibeba. Nijibu hili
Valverde nae anaenda kushinda vikombe sasa na Barca nae mtasema ni kocha bora duniani wakati he was a proven failure at Bilbao.
Klopp aliipa ubingwa Dortmund iliyotoka kupanda daraja ila hajaipa liver iliyoshindwa hata kukaa mstar wa kushuka daraja
af barca ya pep na ya Enrique ni tofaut mno ya pep ilikua bora mno
LE sio kocha bora mithili ya Pep maana barca yake haikuwa bora mithili ya barca ya Pep.Kama Luis Enrique a failure in Italy alipofundisha Roma na Roma ilishindiwa kushiriki hata Europa League aliweza ipa Barca makombe ndo sembuse Ranieri aliyeipa kombe Leicester out of the blue! Hata Bashite akipewa Barca ya Messi atashinda kila kitu nae mtakuja hapa kusema hakujawahi tokea kocha kama Bashite
Nimeuliza je Luis Enrique nae ni kocha bora mithili ya Pep sababu nae kaipa Barca makombe yote ambayo Pep alibeba. Nijibu hili
Valverde nae anaenda kushinda vikombe sasa na Barca nae mtasema ni kocha bora duniani wakati he was a proven failure at Bilbao.
Klop kaikuta Liver kama ambavyo aliikuta Dortmund?.Kitu gani kinamzuia klop kuonekana bora EPL kama ilivokuwa bundasiliga?.Tofauti yake nini Messi, iniesta si ni wale wale na sasa wanaenda kumfanya Valverde Kocha bora toka kuumbwa kwa Dunia kwa mujibu wenu. Nini ambacho Luis hajaipa Barca?
Klopp hakuikuta Liver kama ambavyo Pep aliikuta Barca au Bayern.
Klopp ni kocha Bora zaidi ya Pep. Klopp kaichukua Dortmund 2008 ikiwa haina mbele wala nyuma wala pesa za kumwaga. kaipa Bundes liga 11 na 12, German cup na kufika fainali UEFA, sababu UEFA mtoto halali na hela nae akanyolewa ila he had a good run. Hata city ya Pep haitafurukuta UEFA kamwe.Klop kaikuta Liver kama ambavyo aliikuta Dortmund?.Kitu gani kinamzuia klop kuonekana bora EPL kama ilivokuwa bundasiliga?.
City tayari ilikua "in the room" Pep hajaikuta city mkiani. Tayari ilikua in the build up process na ilikua inaenda sawia so far, kumbuka ni miaka kadhaa tu nyuma city ilibeba EPL, Pep kaja kuendeleza tu na kuongeza palipokuwep. Sio sawa na Ranieri au Klopp DortmundLE sio kocha bora mithili ya Pep maana barca yake haikuwa bora mithili ya barca ya Pep.
Je Man city yeyote iliyowahi kuwepo,ipi bora kulinganisha na hii ya Pep?.
Je timu gani bora EPL msimu huu kulinganisha na Man city?.
Au na hii Man city kaikuta ina nani inamfanya Pep aonekane bora?.
Je nikweli Pep haiwezi ligi ya EPL?.
Zingatia kocha kuchukua kikombe sio kumfanya kocha awe bora,timu inaweza chukua kikombe kwa bahati kama ambavyo Raniel alifanya,Chelsea ilifanya hivo kwenye UEFA na Matheo but Matheo hakuwa bora.
Nauliza tena Je Pep niligi gani ambayo haiwezi?.Maana hapo nyuma mlitwambia EPL hawezi nyanyasa kama Laliga.
Mkuu una Mahaba mazito sanaa hivi kweli unaangalia mpira au wanakuadisia?Ilaa jamani mbona ligi ndio kwanza mbichi hii..! Kumpa pep 100% ya kuchukua Epl , Ni kushusha hadhi Epl kwakweli... [emoji23][emoji23]
Sitotegemea kumuona pep aking'aa kwa round ya 2 mbele ya Arsenal ,Liverpool en Chelsea lazima wamtoboe tu.
Karata yangu ya Epl ipo kwa WENGER 100% , Mornho 90% na Klop kwa 85 % [emoji23][emoji23]
Hata kama anaongoza Kwa gape ya 15 points. Pep kwa WENGER Ni mchumba tu. [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Hii ni comment bora kabisa kabisa kwa hii mada ya kipuuzi ivi wewe mleya uzi umeanza kushabikia soka lini nazani 2014 maana furgeson enzi izo anafanya yake watu kama guardola and the rest wakiwa hawjulikani na wala hakuna anaye wafikirie je unawezaje kupima mafanikio ya miaka 25 na miaka 9 je umetumia kigezo gani kutoa hii hoja yakoWengine mnachekesha kiukweli Pep ana miaka tisa kwenye soka.Lakini SAF aliichukua Man u tangu 1987 kama sio 1988 mpaka 2011/2012 katumia miaka zaidi ya 25 ya ukocha wake unamlinganisha na Pep kwelii?.Pep anaweza kuwa kocha mzuri kuliko hata huyo SAF ngoja tumpe miaka 15 halafu utaelewa.