Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Nitamtambua Guardiola kama best coach iwapo atafundisha Average team financially kama vile.. Everton, Roma, Valencia, Dortmund, Nk...

Kwa timu alizowahi kuzifundisha kama Barcelona Ileee... Bayern ya akina Rubben...katika ubora wao, Na man city hii ya akina Haaland hata Juma mgunda anaweza kutangazwa kuwa Kocha bora.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Unajidanganya mpe mgunda Yanga uone ujinga
 
GPep Hana maajabu, sema pesa za mafuta ndo zinampa jeuri.Kamwe hawei fikia viwango vya Fergie, Mourinho na Ancellotti
 
GPep Hana maajabu, sema pesa za mafuta ndo zinampa jeuri.Kamwe hawei fikia viwango vya Fergie, Mourinho na Ancellotti
Haya yako ndio mawazo ya kishamba, wale wachezaji alionao Pep hakuna timu pale Uingereza isiyoweza kuwasajili, Gundogan, Mahrez, Alvarez, Stones, Diaz na wengine wote wale wanaweza kusajiliwa na timu nyingi pale EPL.

Lakini hebu jiulize, ni makocha wangapi wanaweza kuwafanya wale wachezaji wawe moto kama alivyofanya Guardiola? jibu ni HAKUNA.
 
Ukiisoma documentary ya Guardiola anakwambaia KOCHA BORA ANATENEGENEZWA NA WACHEZAJI WENYE QUALITY KUBWA VICE VERSA IS TRUE. unaweza kuwa na squard ghali sana na usipate mafanikio makubwa ila huyo huyo Guardiola anaweza kumchukua mchezaji anaye onekana wa kawaida na akamfanya kuwa hatari sana, mfano KDB, AKANJI ambaye hata namba dortmund hakuwa nayo hata ya kufikiriwa then angalia wale watoto wake anao watengeneza saivi akina Lewis.....Guardiola is just a master mkuu.

Bielsa mwenyewe anakwambia huyo ndo mwanafunzi wake bora wa muda wote, kwa wale ambao amewafundisha football.
 
pep anajua, cancelo kafunzwa kawa maestro kapewa na saba mgongoni kapata kiburi,na dias jee, ake mabadiliko yake kila mtu anashangaa,KDB wa chelsea alivo ingia mikononi mwa pep kawa top balaa,Stone jee alikuwa ivo? saizi hata yeye hajijui ni mido au beki😂, rodri wa atleticle na huyi vip,
team ni kocha tu, potetino psg ilimshinda, na sasa tuchel bayern inamshinda😂 Pep Fundi sana
 
Unafikiri kila mtu akipewa bajeti nzito anaweza fanya kama anavyofanya gurdiola?...pale barcelona alikuwa na bajeti ipo kama siyo kuwapandisha vijana kadhaa toka la masia angalia aina ya mpira anaofundisha mkuu!...psg kuna bajeti nzito mbona wanachemsha UCL
 
Pep ni kocha wa kawaida sana,yan kwa hao quality players lazima uwe bingwa,,kama yeye noma aende tot/man u achukue ubingwa.Kile kikosi cha barca alichokua uefa hata mgunda akipewa anakua bingwa,cheki kina morinho wanakua mabingwa na vikos vya kawaida sana.Pep yeye ampaka awe na quality players ndo anakua bingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…