cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hebu taja bei yake bas.Nunua Toolbox iko bomba sana harufu yake haikeri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu taja bei yake bas.Nunua Toolbox iko bomba sana harufu yake haikeri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaa, watu wana pesa balaa.Kuna watu wana mipesa na hawajali, nilibaki nakodoa macho maana nina ubahili kidogo ingawa najipenda balaa.
Lotion ninayo paka pale SH Amon ni elfu 70, 000 naichanganya na oil mbili kila chupa ya oil ni 30, 000 so oil mbili 60, 000 sabuni ninayoogea ni 15,000.
Kila baada ya miezi miwili nachukuwa hiyo set jumla 145,000/=
Juzi nimekuta bei imeongezeka kidogo nikaanza kulalamika, wakati nalalamika akaingia mkaka hivi kaulizia perfumu fulani ipo? Wakasema ndio, akauliza sh ngapi eti 520,000/= nyie yule kaka alilipia hiyo perfume na hakubisha kama mimi nilivyo kuwa nalalama lotion yangu kuongezeka bei.
Nikajisemea haya matoto ndo yamezaliwa kwenye familiya za kitajili hayajuagi hata kodi ya nyumba. Alafu lilikuwa lidogo tu halina hata miaka 40
Siwezi toa hiyo pesa sababu ya perfume.
50kHebu taja bei yake bas.
[emoji16][emoji16] Tafuta hela mkuuOga vizuru, kulq asilimia kubwa ya vyakula vya ardhini (mbogamboga na nafaka), kunywa maji mengi, paka mafuta ya kawaida tu ya mgando ili kulinda ngozi. Hasa yale ya asili.
Huitaji perfume, utatoa harufu safi na nzuri tu ya asili.
Hakuna harufu nzuri ya asili bwana. Marashi ni muhimu bila kusahau usafi wa mwili na nguo vinginevyo ni hatari kuna watu wana majasho kama beberu.Oga vizuru, kulq asilimia kubwa ya vyakula vya ardhini (mbogamboga na nafaka), kunywa maji mengi, paka mafuta ya kawaida tu ya mgando ili kulinda ngozi. Hasa yale ya asili.
Huitaji perfume, utatoa harufu safi na nzuri tu ya asili.
Uko sawa mamaHakuna harufu nzuri ya asili bwana. Marashi ni muhimu bila kusahau usafi wa mwili na nguo vinginevyo ni hatari kuna watu wana majasho kama beberu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda mkuu,kila laherituko wengi ✌🏽
allergy zangu nilitakiwa niishi ulaya
Oooh ouk sawaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah!!!Bado mousof inanibamba kwa bei cheap
Umekuja kujua bolooo langu lanukia vipi😅😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] nawee Una bolo? Sasa wenye boloo wasemejee?Umekuja kujua bolooo langu lanukia vipi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kama la aslay😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23] nawee Una bolo? Sasa wenye boloo wasemejee?
NAKAZIAPerfume, viwanja vikali, kuvaa vizuri vinahitaji pesa mkuu so usiwachukulie poa wanatafuta pesa ili kuvipata hivyo. Halafu kuna maana gani kuwa na pesa nyingi halafu uwe mchafu mchafu unanuka nuka, sasa pesa unatafuta ya nini. Ni sawa na kuwa na pesa nyingi lakini huli vizuri unalala kwa tabu lakini akaunti imevimba then ukifa wenzako wanazitafuna hovyo kuliko wewe uliyehangaika.
Maisha ni mara moja, tafuta pesa sana, na enjoy jasho lako.
Ndio umepatia kabisa.Sas utakuta anakaa kw dada ake🤣