Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Bajeti yake elfu 30 mkuu, hizo za laki mbili na nusu haziwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bajeti yake elfu 30 mkuu, hizo za laki mbili na nusu haziwezi.
Ni product ambayo hutumiwa na maiti na wanawake tuu
Aisee mambo ni tofauti mno. Mimi napenda sana mwanaume anaenukia fresh.Ni product ambayo hutumiwa na maiti na wanawake tuu
basi aende kwa za kupimaBajeti yake elfu 30 mkuu, hizo za laki mbili na nusu haziwezi.
Mimi naisaka perfume yenye harufu ya Beberu nikipata itakuwa poa sana .
Sasa hiyo Ck one ndo angalau 150000 perfume izo ni zinakaa mda mrefu kwa nguo lakin ni kwanzia 250000 - 500000Utofauti upo kwenye concentration ya fragrance...
Perfume (Parfum) fragrance concentration inapaswa iwe zaidi ya 15% ya contents zote, hivyo CK One ni EDT tu hapo...
![]()
Sasa huyu ndugu yetu anataka either EDP or P, hivyo inapaswa aelekezwe kulingana na uhitaji wake, isipokuwa kiwango cha bajeti yake ni kidogo atapata labda mafuta (oil parfum)
Atakuwa mwanamke mwenzio huyo. Kuna siku mtajikita mnahombania mwanaume mmojaAisee mambo ni tofauti mno. Mimi napenda sana mwanaume anaenukia fresh.
😂😂😂 Haya bwana.Atakuwa mwanamke mwenzio huyo. Kuna siku mtajikita mnahombania mwanaume mmoja
Si ndio anajipulizia ndio anenda kujenga nchi au???Inasikitisha vijana wenye ndevu wapo bize na mambo ya kike perfume badala ya kujenga Nchi
Aquar iko poa saana ni "unisex"Mimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali
Je, perfume ipi ambayo imepoa itafaa kwa matumizi yangu bila kuniletea shida ya mafua makali bajeti yangu isizidi 30,000
Nunua CobraMimi naisaka perfume yenye harufu ya Beberu nikipata itakuwa poa sana .