Perfume gani isiyo na harufu kali inafaa kwa mwanaume

Perfume gani isiyo na harufu kali inafaa kwa mwanaume

Utofauti upo kwenye concentration ya fragrance...

Perfume (Parfum) fragrance concentration inapaswa iwe zaidi ya 15% ya contents zote, hivyo CK One ni EDT tu hapo...

Evaluation-of-contaminants-in-perfume-colognes-and-health-.webp


Sasa huyu ndugu yetu anataka either EDP or P, hivyo inapaswa aelekezwe kulingana na uhitaji wake, isipokuwa kiwango cha bajeti yake ni kidogo atapata labda mafuta (oil parfum)
Sasa hiyo Ck one ndo angalau 150000 perfume izo ni zinakaa mda mrefu kwa nguo lakin ni kwanzia 250000 - 500000
 
Acha ubahili tafuta creed aventus inauzwa laki 7 na 20 ni og unaweza scan bar code yake price yake ni hyo hyo.
 
Mimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali

Je, perfume ipi ambayo imepoa itafaa kwa matumizi yangu bila kuniletea shida ya mafua makali bajeti yangu isizidi 30,000
Aquar iko poa saana ni "unisex"
 
Berries weekend, sijui hata ni ya kike ya kiume ila natumia. I like it.
 
Duh huyu kijana ni wa kukamata na kuchapa BAKORA nyingi sana atuambie anapata wapi ujasiri wa kuulizia bei ya Perfume.
 
Back
Top Bottom