monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
- Thread starter
- #21
Ni yakiume?Tumia Misk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yakiume?Tumia Misk
Yeah.Ni yakiume?
EmotionMimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali
Je, perfume ipi ambayo imepoa itafaa kwa matumizi yangu bila kuniletea shida ya mafua makali bajeti yangu isizidi 30,000
Vp kuhisu harufu si kaliMimi natumia mousuf ambayo bei yake ni 25,000 mpaka 30,000 kulingana na duka.
Mousuf zipo rangi tofauti......mi natumia hii ya brown.
Bei ipoje bossYeah.
Vijana waliolelewa na Single Mazza wanawaza Umario, Kampeni ya Kataa Ndoa, Kulamba rips za Midomo, Kuvaa ili wapendeze, Pafyumu nzuri, Viwanja Vikali vya mitoko not otherwise. Akili yao hawataki kuishughulisha.Inasikitisha vijana wenye ndevu wapo bize na mambo ya kike perfume badala ya kujenga Nchi
Mimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali
Je, perfume ipi ambayo imepoa itafaa kwa matumizi yangu bila kuniletea shida ya mafua makali bajeti yangu isizidi 30,000
Haizidi elfu15Bei ipoje boss
hugo boss 😊
Ck one be
Mimi naisaka perfume yenye harufu ya Beberu nikipata itakuwa poa sana .
🤣🤣🤣😂😂😂😂 Dahh! Unataka jamaa akae kama beberu au siyo?
Hata mm Niko na hyo hyo mousufMimi natumia mousuf ambayo bei yake ni 25,000 mpaka 30,000 kulingana na duka.
Mousuf zipo rangi tofauti......mi natumia hii ya brown.
Inasikitisha vijana wenye ndevu wapo bize na mambo ya kike perfume badala ya kujenga Nchi