Perfume gani isiyo na harufu kali inafaa kwa mwanaume

Perfume gani isiyo na harufu kali inafaa kwa mwanaume

jazz.jpg
 
Kuna watu wana mipesa na hawajali, nilibaki nakodoa macho maana nina ubahili kidogo ingawa najipenda balaa.

Lotion ninayo paka pale SH Amon ni elfu 70, 000 naichanganya na oil mbili kila chupa ya oil ni 30, 000 so oil mbili 60, 000 sabuni ninayoogea ni 15,000.
Kila baada ya miezi miwili nachukuwa hiyo set jumla 145,000/=

Juzi nimekuta bei imeongezeka kidogo nikaanza kulalamika, wakati nalalamika akaingia mkaka hivi kaulizia perfumu fulani ipo? Wakasema ndio, akauliza sh ngapi eti 520,000/= nyie yule kaka alilipia hiyo perfume na hakubisha kama mimi nilivyo kuwa nalalama lotion yangu kuongezeka bei.

Nikajisemea haya matoto ndo yamezaliwa kwenye familiya za kitajili hayajuagi hata kodi ya nyumba. Alafu lilikuwa lidogo tu halina hata miaka 40

Siwezi toa hiyo pesa sababu ya perfume.
 
Vijana waliolelewa na Single Mazza wanawaza Umario, Kampeni ya Kataa Ndoa, Kulamba rips za Midomo, Kuvaa ili wapendeze, Pafyumu nzuri, Viwanja Vikali vya mitoko not otherwise. Akili yao hawataki kuishughulisha.
Perfume, viwanja vikali, kuvaa vizuri vinahitaji pesa mkuu so usiwachukulie poa wanatafuta pesa ili kuvipata hivyo. Halafu kuna maana gani kuwa na pesa nyingi halafu uwe mchafu mchafu unanuka nuka, sasa pesa unatafuta ya nini. Ni sawa na kuwa na pesa nyingi lakini huli vizuri unalala kwa tabu lakini akaunti imevimba then ukifa wenzako wanazitafuna hovyo kuliko wewe uliyehangaika.
Maisha ni mara moja, tafuta pesa sana, na enjoy jasho lako.
 
Kuna watu wana mipesa na hawajali, nilibaki nakodoa macho maana nina ubahili kidogo ingawa najipenda balaa.

Lotion ninayo paka pale SH Amon ni elfu 70, 000 naichanganya na oil mbili kila chupa ya oil ni 30, 000 so oil mbili 60, 000 sabuni ninayoogea ni 15,000.
Kila baada ya miezi miwili nachukuwa hiyo set jumla 145,000/=

Juzi nimekuta bei imeongezeka kidogo nikaanza kulalamika, wakati nalalamika akaingia mkaka hivi kaulizia perfumu fulani ipo? Wakasema ndio, akauliza sh ngapi eti 520,000/= nyie yule kaka alilipia hiyo perfume na hakubisha kama mimi nilivyo kuwa nalalama lotion yangu kuongezeka bei.

Nikajisemea haya matoto ndo yamezaliwa kwenye familiya za kitajili hayajuagi hata kodi ya nyumba. Alafu lilikuwa lidogo tu halina hata miaka 40

Siwezi toa hiyo pesa sababu ya perfume.
Hahahaha kama we huwez ruhusu kuikosa hio set ndio ambavyo mwenzio haruhusu kuikosa hio perfume
 
Oga vizuru, kulq asilimia kubwa ya vyakula vya ardhini (mbogamboga na nafaka), kunywa maji mengi, paka mafuta ya kawaida tu ya mgando ili kulinda ngozi. Hasa yale ya asili.

Huitaji perfume, utatoa harufu safi na nzuri tu ya asili.
Hivi kuna watu wanaopenda harufu ya asili?mimi binafsi napenda sana kunukia,na mtu wangu wa karibu asipokuwa ananukia hatutaelewana,hivyo hiyo ya asili wakae nayo tu...
 
Kuna perfume moja huwa sitaki hata kuisikia na inanichukiza sana kias kwamba hata nikikutana na mtu kajipiga hiyo huwa najihis kumchukia pia.
Hii spray bwana huwa inanikumbusha mwaka 2020 ndio kwa mara ya kwanza nimeisikia harufu kwakua kuna manzi mmoja nilivusha nichape.
E bwana eeeeehhhh, yule manzi alikua ananuka K kishenz na mwisho siku kwa mara ya kwanza nikapata Gono nikiwa safari Arusha.

ile show sikumaliza na nikaanza kukojoa usaha kesho asubh tu. Huwa naikumbuka ile harufu ya perfume mpaka kesho.

Naichukia kwasababu ilinitesa sana kila nikikutana nayo na feel sooo guilt.
 
Back
Top Bottom