Perfume gani isiyo na harufu kali inafaa kwa mwanaume

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaa, watu wana pesa balaa.
 
perfume nyingi za NIVEA zina harufu iliyopoa sana na ni cheap pia...
 
Wale mnaopemda kunukia vizuri mzigo wa perfume kutoka South Africa upo dar. Hizi ni copy za genuine brands (first class)kama Dior, Paco Rabbane, DKNY, Gucci nk. Kuna za kike na za kiume bei ni sh 25000 tu,ukijipulizia hii unanukia mpaka kesho . Kama unahitaji karibu inbox kwa mawasiliano zaidi,mali ipo Dar.
 

Attachments

  • IMG-20240303-WA0018.jpg
    31.4 KB · Views: 19
  • IMG-20240303-WA0017.jpg
    69.5 KB · Views: 23
  • IMG-20240303-WA0015.jpg
    41.6 KB · Views: 20
  • IMG-20240303-WA0011.jpg
    50.7 KB · Views: 22
  • IMG-20240303-WA0009.jpg
    27.9 KB · Views: 16
  • IMG-20240303-WA0012.jpg
    56.3 KB · Views: 21
Oga vizuru, kulq asilimia kubwa ya vyakula vya ardhini (mbogamboga na nafaka), kunywa maji mengi, paka mafuta ya kawaida tu ya mgando ili kulinda ngozi. Hasa yale ya asili.

Huitaji perfume, utatoa harufu safi na nzuri tu ya asili.
[emoji16][emoji16] Tafuta hela mkuu
 
Oga vizuru, kulq asilimia kubwa ya vyakula vya ardhini (mbogamboga na nafaka), kunywa maji mengi, paka mafuta ya kawaida tu ya mgando ili kulinda ngozi. Hasa yale ya asili.

Huitaji perfume, utatoa harufu safi na nzuri tu ya asili.
Hakuna harufu nzuri ya asili bwana. Marashi ni muhimu bila kusahau usafi wa mwili na nguo vinginevyo ni hatari kuna watu wana majasho kama beberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joop
Isemiyake
Korous
Pacco black
Black opium
One Milion
Xs Pacco rabana
Arams
Invictus

Vyombo hivyo,,$ 80 to $100
 
If you smell rich you smell Pev Pev but if you smell poor you smell Bush BushπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
NAKAZIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…