Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo original zinapatikana maduka yapi mjini?nataka nijilipue
Khaa!! Unaogopa kukitaja mbona ni kiungo kama vingine tu? basi unaitwa muhogo bana :spy:Mwambie huyoo, perfume mbwembwe tu, mpango mzima ela na nanihii nini ile ..,
Khaa!! Unaogopa kukitaja mbona ni kiungo kama vingine tu? basi unaitwa muhogo bana :spy:
Acqua Di Gio by Giorgio Armani
Creed Aventus
Dior Home Intense
Yves Saint Laurent La Nuit De L'homme
Ni Perfume gani ya kiume ambayo harufu yake huwa inawavutia sana wakina dada?
Kaka usihangaike perfume pochi tu kuna mlima korosho Ana sura kama panya na harufu mbaya kichizi kanasa mtoto anafanya kazi voda wa ukweli kichizi sasa sijui ni per tym tu hadi mavuno yatakapoisha or itakuwa kwa msimu mavuno hadi mavuno ila mtoto wa ukweli amempata
Kaka usihangaike perfume pochi tu kuna mlima korosho Ana sura kama panya na harufu mbaya kichizi kanasa mtoto anafanya kazi voda wa ukweli kichizi sasa sijui ni per tym tu hadi mavuno yatakapoisha or itakuwa kwa msimu mavuno hadi mavuno ila mtoto wa ukweli amempata
nimesoma ila sijaelewa mkuu
duh!! Afadhali hujaelewa aisee..nimesoma ila sijaelewa mkuu
sawa mkuuduh!! Afadhali hujaelewa aisee..
Swadakta mkuu. Zingine zoote ni mbwembwe tu zile.. Mwanamme pesa bwana, harufu nzuri hata nyuki wanazo
Aa wapi. Kuna maana gani kutumia unyunyu wa kilo unusu af unaishia kupanda daladala.. Simaanishi kutetea uchafu mkuu. Ila twende kwenye current reality of lifeWewe unawezekana upo rafurafu tu siku zote watu wanahela na wapo smart na mademu wananasa kama kawa.