bungeni tu kuna porojo sembuse hapa jfgreat thinkers jibun swali la mleta uzi mbona porojo nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bungeni tu kuna porojo sembuse hapa jfgreat thinkers jibun swali la mleta uzi mbona porojo nyingi.
Mimi nataka spray jamani sina uwezo wa pafyumu, je ni spray gani ambayo ipo romantiki yaani nikipuliza nakuwa so amaaaziiing
Aa wapi. Kuna maana gani kutumia unyunyu wa kilo unusu af unaishia kupanda daladala.. Simaanishi kutetea uchafu mkuu. Ila twende kwenye current reality of life
Unakuza mambo wewe! Elewa kwanza frsh ndipo ucomment.. Punguza panic; relaxKwahio wapanda daladala watumie za 5000/- sio?
Unakuza mambo wewe! Elewa kwanza frsh ndipo ucomment.. Punguza panic; relax
Hizi ni nzuri sana
Sio wanawake wote watapenda hayo marashi yenu, Mke wangu alipenda zaidi harufu yangu ya asili.
Sijaelewa.
labda ushuzi wako
Aa wapi. Kuna maana gani kutumia unyunyu wa kilo unusu af unaishia kupanda daladala.. Simaanishi kutetea uchafu mkuu. Ila twende kwenye current reality of life
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia
Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu
Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration
Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?
Wengine harufu ya pu-mbu tu hoi!