Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Aa wapi. Kuna maana gani kutumia unyunyu wa kilo unusu af unaishia kupanda daladala.. Simaanishi kutetea uchafu mkuu. Ila twende kwenye current reality of life

Kwahio wapanda daladala watumie za 5000/- sio?
 
Hizi ni nzuri sana
 

Attachments

  • 1436454721449.jpg
    1436454721449.jpg
    10 KB · Views: 831
  • 1436454733026.jpg
    1436454733026.jpg
    8.1 KB · Views: 724
Sio wanawake wote watapenda hayo marashi yenu, Mke wangu alipenda zaidi harufu yangu ya asili.
 
Hiii hata sjaielewa nmenunua 170k but haikai hata 12 hrs, uchumi qty center ndo nlponunulia
 
Creed Aventus
Kouros
Yatch Man Red
Burberry Touch
 
Aa wapi. Kuna maana gani kutumia unyunyu wa kilo unusu af unaishia kupanda daladala.. Simaanishi kutetea uchafu mkuu. Ila twende kwenye current reality of life

Kupande daladala sio umasikini but wengine yaweza kuwa hobby hasa unakuwa karibu na watu zaidi.

Si ajabu hata hao mademu wapenda unyunyu unaweza kuwapata humo ndani ya "chaimaharage"
 
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia

Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu

Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration

Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?

Natural perfume, JASHO.
 
Utatafuta pafyumu hadi uote sugu kaka. Hyo kaz waachie wenyewe wadada. Wewe kaz n moja 2. Mtombe vzuri hadi avurugwe na akili.hyo ndo pafyum wapendayo kina dada wengi
 
Back
Top Bottom