Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Hahah harufu ya Pimbu ndo yenyewe.... Kwanza akisikia anazimia then unajilia vyako... Aiku nyingine atakuja tena kuhakikisha ile aliyoiskia ni harufu au then mchezo unarudia
 
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia

Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu

Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration

Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?

my best smell ever and ever
 

Attachments

  • 1441307791712.jpg
    1441307791712.jpg
    21.7 KB · Views: 771
Yaa
Kiukweli napenda mwanaume anukie! Yaani ht akiwa anakuja najua he s coming, nishasikis ile cologne na si nyingine ni isimiaki/isymiaki.am nt sure na spelling!!!!

Akinisogelea/akinikumbatia baaaaas
so perfum tano bora ni zipi?
 
mie natumia deodarant ya Gillette na unyunyu yatchman chocolate uwa mabinti wanauliza kwa kweli nimewanyoosha upande wa kunukia
 
kitu mafuta ya yolanda enzi hizo 1985
Yaah yolanda na ayu hapo pia kulikuwa na viperemende flan hivi vya mviringo unavitupa penye sanduku lako la chuma aah umemaliza.
Maisha yamekuwa ghali sana sababu ya uigizaji(uzungu).
 
Perfume ni nini?
Body Spray ni nini?
Cologne ni nini?
Fragrance ni nini?
Deodorant ni nini?


Tunaweza fikiri tunayoyajua kila mtu anayajua
so kwa faida ya wengi tuanze na hapo....
wise yu
 
Back
Top Bottom