Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Nasisitiza tutumie vitu vya asili
Kuna siku niliingia pale mwenge puma petrol station kwenye kile ka min shop yao nikakuta mafuta ya Yolanda nilicheka hadi wahudumu wakanishangaa, nikanunua kimoja baada ya 2 days naende kumchukulia mtu nikakuta vimeisha
Vya kale ni dhahabu ndo ilikuwa mtama kwa watoto enzi hizo.
 
Kweli kila mtu na taste yake. Mimi perfume za kiarabu sizipendi yani hata harufu ya udi na ubani uwa inanichafua tumbo.
Nikikaa karibu na mwanamke aliyejipulizia unyunyu wa hivyo najihisi ovyo
 
Dah haya majina yalotajwa hapa unaweza jing'ata ulimi kwa kulazimisha kuyatamka. Hivi INSTRUCTION (4000) tu haitoshi?

Yani kabisa nihesabu laki + kununua unyunyu? labda kama ninashare na mafishi wa shirika la nyumba 73.
 
Watu wa Dar bana matatizo sana!Huku kijijini hata nn ndiyo perfume hatujui!Mafuta yetu ya mawese na magadi kwenye kwapa mambo tambalalee kabisa

Perfume ni nyie mabitozi na masista duuh wa mjini bana
 
I like men who smell good.
Wa kwangu namnunulia body spray ya bellagio na perfume ya fabrique.
Wanawake wanaonunulia zawadi za maana wanaume zao mmebaki wachache sana 1 kati ya 1000. Kitchen party ulifanyia wapi na nani mwalimu wako?
 
Perfume za kizungu sijui boss, Beckham, ck hazina mpango wowote, nendeni arabuni perfume zake bab kubwa, ukitaka hizo ulizia maduka ya vipodozi ya wapemba ndo wenyewe wanayo yajua. Yapo ya kike na kiume, pia body spray za kiarabu mashallah.

Body spray kwa ajili ya mwili na perfume kwa ajili ya nguo, kuna watu wanatumia tu bila ya mpangilio.

Kuna lotion nzuri inaitwa Rinju, harufu yake bab kubwa, yaani lazima mtu akundande

Hiyo Rinju bei gani?
 
Dah haya majina yalotajwa hapa unaweza jing'ata ulimi kwa kulazimisha kuyatamka. Hivi INSTRUCTION (4000) tu haitoshi?

Yani kabisa nihesabu laki + kununua unyunyu? labda kama ninashare na mafishi wa shirika la nyumba 73.
Ha ha haaaa! Ni ubahili ama ni nini?
 
mi ndo kaugonjwa kangu yaani mwanaume akinukia napagawa naweza kumfwata kama chatu na mbwa
 
Back
Top Bottom