LUPONDE YETY
Member
- Oct 21, 2016
- 93
- 47
Alamycin spray
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna perfume moja inaitwa PESA..hii ni noma.
De Toilette ni nini...
Aisee kweli watu mna manenoMafuta ya nazi...tu hakuna cha perfume wala fragnance wala cologne!!
Kwa Bajeti yako hakuna kanunue za kupima tu.Hi wanajukwaa naomba mwenye kujua pafume yenye harufu safi na kudumu kwa muda mrefu isiyozidi 6000Tsh
Inaitwa black & whitekuna moja inanukia kama ndimu si ndimu hivi; yani haipigishi chafya hata kama una allergy ...aisee nikiijua jina naenda kumnunulia baba nanii zawadi...Nilishapishana na majamaa kama wawili wananukia hiyo perfume...nikaona nikiwauliza jina watadhani nime wa mind; nikakauka
Mi ni mmoja ya wanaovutiwa sana na perfume za kiume zile za ukweli...
Kitu kinachoongeza u smart kwa mwanaume ni pamoja na kunukia vizuri
Kwa Bajeti yako hakuna kanunue za kupima tu.
inauzwa bei gani?Inaitwa black & white
Ndo natmia hta mmi
6000inauzwa bei gani?
Hipo iviinauzwa bei gani?
Mangi vitu vidogo hivi....Ngoja waka gugo
Kama hela cyo shida tafuta Issey Miyake...L'eau d'Issey 180,000/= watoto wote wa mjini watakufuata nyuma kama kuku na vifaranga.
Ila kama pesa ya kuunga tumia vya bei rahisi kama romance na bellagio.
Haha kitu amazingggggg