PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Ni custom drivers za Amd hasa kwa Gpu ambazo hazina support kwa sasa kama hio Rx 580, inasaidia kupunguza hizo bugs.
Hii rx naona bado inapokea latest driver. Bt nitajaribu ingawa hiyo error tangu natumia vega 11 ilikuwepo.
 
Guys, naomba nielekezwe jinsi ya kukaba kwenye fifa 23 au 24 kama ukiwa unacheza ps4, naona kama wachezaji hawakabi kabisa, nasindikiza mtu hadi golini labda kupata mpira yy mwenyewe nnae cheza nae akosee kutoa pasi lakini siwezi kupata mpira kwa kukaba, nipo vizuri kwenye kupiga pasi na kufunga ila kukaba bado sijui kwakweli...😢
 
Guys, naomba nielekezwe jinsi ya kukaba kwenye fifa 23 au 24 kama ukiwa unacheza ps4, naona kama wachezaji hawakabi kabisa, nasindikiza mtu hadi golini labda kupata mpira yy mwenyewe nnae cheza nae akosee kutoa pasi lakini siwezi kupata mpira kwa kukaba, nipo vizuri kwenye kupiga pasi na kufunga ila kukaba bado sijui kwakweli...[emoji22]

Kwenye fifa 24 huwa nakaba kwa kutumia L2 box,na O

Ukibonyeza L2 mchezaji anaulinda mpira jinsi anavojiseti anakua standby kuchukua mpira

Box mchezaji anaingiza mguu kuweza kuupata mpira kutoka kwa mpinzani(hii inafanya kazi mara nyingi endapo mchezaji wako anatazamana uso kwa uso na mpinzani mwenye mpiria basi Ukibonyeza box anaweka mguu na kuchukua mpira)

O ni kwa ajili ya sliding tackles nadhani unaelewa kazi yake tena Jitahidi uwe unapiga zile sliding tackles kimahesabu ili ukislide basi unazuia mpira kwanza na sio mguu maana utakua unacheza rafu na kupewa mikadi kila mara
 
Guys, naomba nielekezwe jinsi ya kukaba kwenye fifa 23 au 24 kama ukiwa unacheza ps4, naona kama wachezaji hawakabi kabisa, nasindikiza mtu hadi golini labda kupata mpira yy mwenyewe nnae cheza nae akosee kutoa pasi lakini siwezi kupata mpira kwa kukaba, nipo vizuri kwenye kupiga pasi na kufunga ila kukaba bado sijui kwakweli...😢
Hizi kidogo ziko tofauti kuna legacy hii wengi ndio tumeizoea kuna tactical na advance jamaa hapo kidogo kazielezea..

Bt mambo yasiwe mengi set tu legacy defendingi.
Ila bahati mbaya ukicheza online legacy defending haipo lazima utumie tactical au advance defending.
 
Jaribu Mesa mkuu uone, sababu driver ya sasa ya RX na ya Vega 11 ni hio hio.
Ilikaa sawa mkuu, niliondoa driver then nikainistall tena.

Hata last of us nilidownload lingine likakubali. But liko slow mno kuloàd.
 
Ilikaa sawa mkuu, niliondoa driver then nikainistall tena.

Hata last of us nilidownload lingine likakubali. But liko slow mno kuloàd.
Magame ya sasa yanataka ssd, tena zile nvme ssd sio sata, ambazo zina speed GBps kadhaa.

Hizi Ps5 na Xbox mpya toka ziwekwe Nvme ssd ndio Zimesababisha haya majanga, developers hawana time ya ku optimize wana port tu games za console kwenda pc, inabidi sisi tujiongeze kumatch specs za Console.
 
Magame ya sasa yanataka ssd, tena zile nvme ssd sio sata, ambazo zina speed GBps kadhaa.

Hizi Ps5 na Xbox mpya toka ziwekwe Nvme ssd ndio Zimesababisha haya majanga, developers hawana time ya ku optimize wana port tu games za console kwenda pc, inabidi sisi tujiongeze kumatch specs za Console.
Duuh yaaani hadi balaa kuna muda katikati ya game linaload kama hivi

IMG_20240624_180852_588.jpg
 
Wakuu Troublemaker na Chief-Mkwawa kuna Pc inauzwa nimeona tangazo ...he ipo sawa hii?? Gaming Laptop Nvidia Core i7
Ram 12GB
Storage 500GB
Nvidia (vram) 2GB
Iko na games kibao
Bei kitonga 320k
Mteja serious nchk (Ubungo Riverside)
 
Wakuu Troublemaker na Chief-Mkwawa kuna Pc inauzwa nimeona tangazo ...he ipo sawa hii?? Gaming Laptop Nvidia Core i7
Ram 12GB
Storage 500GB
Nvidia (vram) 2GB
Iko na games kibao
Bei kitonga 320k
Mteja serious nchk (Ubungo Riverside)
Duuh sema now vram ya 2gb sijui game now requirements ni heavy kweli. Bt kwa bei hiyo imekaa poa.
 
Mkuu kama una Account yenye gamez hasaya mpira naomba Tuwasiliane unisaidie jambo (Mimi nina PS5 lakini nna account yenye game zisizo za mpira
Daah. Sema kwenye console upande wa kupata games ndio naonaga ni kisanga hasa ps5....
Hivi ps5 zishaweza kuchipiwa?
 
Chief-Mkwawa

Hivi EA huwa hawataupdate tena fc24..
Maana bado vikosi viko vilevile mbappe yuko psg n.k.

Pia team zilizopanda na kushuka daraja bado ziko vile vile. Hazijabadilika
 
Chief-Mkwawa

Hivi EA huwa hawataupdate tena fc24..
Maana bado vikosi viko vilevile mbappe yuko psg n.k.

Pia team zilizopanda na kushuka daraja bado ziko vile vile. Hazijabadilika
Sidhani mkuu, fc25 ndio litakua na vikosi vipya, labda modders tu ambao hawahusiani na EA ndio watoe patch ya ku update vikosi
 
Sidhani mkuu, fc25 ndio litakua na vikosi vipya, labda modders tu ambao hawahusiani na EA ndio watoe patch ya ku update vikosi
Duuuh so niingie mfukoni tena?

Au nisubiri dirisha la usajili lifungwe labda wataupdate.
 
Duuuh so niingie mfukoni tena?

Au nisubiri dirisha la usajili lifungwe labda wataupdate.
Ndio biashara yao ilivyo mkuu, waki update hutanunua game jipya. Siku zote update za msimu mpya zinatoka kwa 3rd party developers na sio wenyewe.
 
Back
Top Bottom