Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Graphics card haiangalii GB, japo GB zina umuhimu wake.Hivi graphic ambayo ni best inauzwa bei gani na ina GB ngapi???
Na nzuri ni rtx 3090 na bei yake ni Zaidi ya Dola 3000, hivyo around milioni 8 hivi.