Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna ssd na ram kubwa?Mbaya zaidi nilichukua file. Setup zingine zinachukua masaa mengi. Maana nakumbuka niliinistall mortal kombat 11 kwa zaidi ya masaa 16.
Kama ni repack kama zile za kina fitgirl zinataka 16GB ram, ikiwa chini ya hapo wanalimit kwa 2GB, ukiwa una extract check task manager kitu gani kina bottleneck.Ram 8 na ssd, but sijui hata why lilichelewa vile.
Ni kweli. Nilishauriwa nilimit kwa 2gb ili isije kucorupt.Kama ni repack kama zile za kina fitgirl zinataka 16GB ram, ikiwa chini ya hapo wanalimit kwa 2GB, ukiwa una extract check task manager kitu gani kina bottleneck.
Upadate windowsMwanzoni Pc yangu ilikuwa ina Run Game vizuri, ghafla ikapoteza ubora ikawa hata ukiweka resolution kubwa ina Lag hapa tatizo linaweza kuwa ni nini? Driver ziko update ni Hp Pro one 400
Chief-MkwawaMwanzoni Pc yangu ilikuwa ina Run Game vizuri, ghafla ikapoteza ubora ikawa hata ukiweka resolution kubwa ina Lag hapa tatizo linaweza kuwa ni nini? Driver ziko update ni Hp Pro one 400
Njia rahisi ya kujua Tatizo wakati pc inalag immediately fungua task manager angalia cpu, ram, storage na Gpu kipi kimejaa 100% hapo ndio unaanzia kutafuta tatizo.Mwanzoni Pc yangu ilikuwa ina Run Game vizuri, ghafla ikapoteza ubora ikawa hata ukiweka resolution kubwa ina Lag hapa tatizo linaweza kuwa ni nini? Driver ziko update ni Hp Pro one 400
Njia rahisi kuna jamaa wanauza 10000 tu.Wadau Msaada Namna ya Kulipata Kwa walio download ….Niko Dar natanguliza shukrani zangu za dhati
Magemu skuiz atununui tuna download wenyeweAliyepo dom
Njoo na 10000 ya kubrashia viatu ficha kwenye bahasha, uondoke na fifa23.
wengine tunanunua bado, nataka kupunguza makali ya nilicholipia 😁Magemu skuiz atununui tuna download wenyewe
🤣🤣🤣Halina virus hilowengine tunanunua bado, nataka kupunguza makali ya nilicholipia 😁
Miaka hii virus vinapatikana stationery na kwa waingiza miziki kwenye simu tu 😁🤣🤣🤣Halina virus hilo
Ova Games kwenye hii link kuna magemu mbali mbali mkuu muhimu uwe na gb za kutosha aiseeMiaka hii virus vinapatikana stationery na kwa waingiza miziki kwenye simu tu 😁
KabisaMiaka hii virus vinapatikana stationery na kwa waingiza miziki kwenye simu tu 😁
Labda kama unatumia wifi yenye slow kaka mie natumia supa kasi ya voda nashusha hadi gemu la gb 70Mkuu ishu si kudownload ni bundle. Kudownload file la gb 50+ si mchezo itakugharimu bei gani.hata kama una wi-fi bado muda ni tatizo.