Pesa haziokotwi! Mpira wetu bado haulipi kihivyo. Mo kakata moto, GSM anajuta

πŸ‘‡πŸ˜πŸ˜πŸ˜
Your browser is not able to display this video.
 
Wanasimba wenzangu tuanze kampeni ya kuzisaka B20 ziko wapi? tunataka uwekezaji mzuri..halafu kwa nini Boss Kasusa
Pesa zimewekwa bank mkuu afu wewe si utopwinyo.?
 
GSM anauza jezi elfu 35tsh alafu anaipa club 1300tsh hii ni haki kweli? Hata kama kuna gharama zingine lakini kuwapa uto 1300 kwenye elfu 35 sio haki ni unyonyaji!
Mimi ni shabiki wa Simba,siwezi waponda GSM Kwa kuipa klabu1300.uendeshaji wa klabu ni gharama kubwa mnoo
 
Hakika kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…