Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niligundua hili baada ya Kunangusha Coin na Elfu kumi kwa pamoja.pesa haitaki kelele..
Wee hiyo clean money wanapata wachache sana maana kwanza hawa maboss wetu full dhuluma na maugangaHili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..
Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!
Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..
Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa
Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK
Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..
Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!
Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..
Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa
Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK
Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
Kwa mfano; unamtumia nauli demu au mchepuko aje gheto au lodge,bahati mbaya anashindwa kuja..unakasirika balaa baadae kimoyo moyo unajisemea umetoa sadaka 😀😀😀naomba ufafanuzi kwenye bold text kwa faida ya wengi mkuu
Bado haija kaa sawa sababu hata hao manabii wana makanisa pia na watu huenda kuabudu hapoUnapoabudu,,,, church au msikitini! Sio hawa manabii wa uwongo
Mkuu Mshana Jr kuna jamaa yupo Arusha anaitwa Geordavis,Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..
Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!
Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..
Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa
Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK
Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
Somo: Washefa hawanaga kelele shida ni Hawa VIREDIO.Niligundua hili baada ya Kunangusha Coin na Elfu kumi kwa pamoja.
Coin kelele nyiiingi af Ni jero tu huku Msimbazi upo kimyaaa.
Somo: Washefa hawanaga kelele shida ni Hawa VIREDIO.
pesa kidogo Hadi mtemdaji kata atajua.
Jiulize kwanini anagawq kwa watu maarufu tu tena mbele ya camera? Yale ni makubaliano ya yeye na wao.. Ile ni Kazi na yale ni malipoMkuu Mshana Jr kuna jamaa yupo Arusha anaitwa Geordavis,
hungawa pesa kwa watu hasa waimbaji, wasanii, wachungaji njaa nk,
amewahi kumpa hela mwimbaji Gothbert Goodluck, Christina Shusho, Daudi Mashimo, Faustine Munishi nk nk,
Baadhi ya watu wadai ukikubali kupokea fedha yake inakuwa ile nyota yako umemuuzia ww bila kujua, unakuta unaporomoka kutoka level uliyokuwa ya kifani, je hili lina ukweli wowote au maneno tu??
Asante sana kwa ushauri mkuu.Sadaka haitumwi mtandaoni bali mhusika huipeleka kwa mikono yake kwenye madhabahu ya dini ambayo ni taasisi na si kituo cha mtu mmoja
Maneno ya bill gates unayaibaTabia ya pesa
Kwanza utambue utajiri siyo kuwa na account inayopokea na kutoa pesa nyingi, utajiri ni zaidi ya uwezo wa kutengeneza utajiri, kwa mfano mtu alieshinda bahati nasibu au kamari huyo wala siyo tajiri, huyo ni mtu masikini mwenye pesa nyingi, Asilimia 90 ya millionaire walioshinda bahati nasibu baada ya miaka mitano wanakua maskini tena"
Uitoe unapo abudu ama kwa wahitaji kama wajane na watoto yatimaHapo kwenye kuitoa kwa usahihi na mahali sahihi ndio mtihani kupajua.
kwa Chief Godlove ni aje?Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..
Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!
Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..
Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa
Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK
Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
Unatoaje sehemu sahihi na kiwango sahihi?Kwakuwa hatujui asili yake ndio maana tunaaswa kutoa sadaka ili kuilinda na kuikomboa.. Hivyo sadaka ni tenda la kiimani lenye maana kubwa sana! Lakini ni lazima kuitoa kwa usahihi na sehemu sahihi