Pesa huwa na tabia ya kuitana na kualikana

Pesa huwa na tabia ya kuitana na kualikana

Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..

Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!

Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..

Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa

Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK

Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
Wee hiyo clean money wanapata wachache sana maana kwanza hawa maboss wetu full dhuluma na mauganga
 
Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..

Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!

Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..

Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa

Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK

Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!

Na siasa za damu pia zina tabia ya kuwageuka wanaozifanya. Na wale wa kuogea maji chafu chafu watanuka nayo milele pia
 
Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..

Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!

Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..

Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa

Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK

Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
Mkuu Mshana Jr kuna jamaa yupo Arusha anaitwa Geordavis,

hungawa pesa kwa watu hasa waimbaji, wasanii, wachungaji njaa nk,

amewahi kumpa hela mwimbaji Gothbert Goodluck, Christina Shusho, Daudi Mashimo, Faustine Munishi nk nk,

Baadhi ya watu wadai ukikubali kupokea fedha yake inakuwa ile nyota yako umemuuzia ww bila kujua, unakuta unaporomoka kutoka level uliyokuwa ya kifani, je hili lina ukweli wowote au maneno tu??
 
Niligundua hili baada ya Kunangusha Coin na Elfu kumi kwa pamoja.
Coin kelele nyiiingi af Ni jero tu huku Msimbazi upo kimyaaa.

Somo: Washefa hawanaga kelele shida ni Hawa VIREDIO.
pesa kidogo Hadi mtemdaji kata atajua.
Somo: Washefa hawanaga kelele shida ni Hawa VIREDIO.
pesa kidogo Hadi mtemdaji kata atajua😂.
 
Mkuu Mshana Jr kuna jamaa yupo Arusha anaitwa Geordavis,

hungawa pesa kwa watu hasa waimbaji, wasanii, wachungaji njaa nk,

amewahi kumpa hela mwimbaji Gothbert Goodluck, Christina Shusho, Daudi Mashimo, Faustine Munishi nk nk,

Baadhi ya watu wadai ukikubali kupokea fedha yake inakuwa ile nyota yako umemuuzia ww bila kujua, unakuta unaporomoka kutoka level uliyokuwa ya kifani, je hili lina ukweli wowote au maneno tu??
Jiulize kwanini anagawq kwa watu maarufu tu tena mbele ya camera? Yale ni makubaliano ya yeye na wao.. Ile ni Kazi na yale ni malipo
Umrshawahi kusikia ameendesha ibada kisha akatangaza kutopokea sadaka siku hiyo?
 
Tabia ya pesa

Kwanza utambue utajiri siyo kuwa na account inayopokea na kutoa pesa nyingi, utajiri ni zaidi ya uwezo wa kutengeneza utajiri, kwa mfano mtu alieshinda bahati nasibu au kamari huyo wala siyo tajiri, huyo ni mtu masikini mwenye pesa nyingi, Asilimia 90 ya millionaire walioshinda bahati nasibu baada ya miaka mitano wanakua maskini tena"
 
Tabia ya pesa

Kwanza utambue utajiri siyo kuwa na account inayopokea na kutoa pesa nyingi, utajiri ni zaidi ya uwezo wa kutengeneza utajiri, kwa mfano mtu alieshinda bahati nasibu au kamari huyo wala siyo tajiri, huyo ni mtu masikini mwenye pesa nyingi, Asilimia 90 ya millionaire walioshinda bahati nasibu baada ya miaka mitano wanakua maskini tena"
Maneno ya bill gates unayaiba
 
Hili linaweza kuwa jipya kwako... Hata visivyo na uhai kwenye ulimwengu wa roho vina yoho..

Kimojawapo ni pesa ama fedha, ukipenda ziite shekeli.. Ni wazi umeshawahi kusikia watu wakisema.. Fulani bwana pesa imemkubali.. Ama Fulani bwana pesa imemkataa!

Licha ya pesa kuitana na kualikana lakini vilevile pesa huwa na tabia ya kukataa, kuondoka ama kutoroka..

Pesa inayoalikana ni ile inayofika kwa mara ya kwanza na kuona mazingira iliyopo ni salama kwake, kiafya na kiulinzi.. Im is haji hakim is hi a hilo hualika ndugu zake, jamaa na marafiki
Mialiko hiyo bila mhusika kujua hujikuta tu kila anachogusa kidogo ni pesa inaingia bila stress
Kuna masharti ya pesa lakini lililo kubwa ni kwamba pesa haitaki kelele.. Halafu pesa haitaki shobo na maringo.. Pesa inathamini sana kuheshimiwa na kutunzwa

Kwenye ulimwengu wa pesa pia kuna pesa zenye nuksi ama pesa za bahati mbaya, pesa za maagano zilizonenewa mambo hasi
Mtu hujikuta anapata pesa mfululizo na bila changamoto yoyote! Halafu kuna kapesa kiasi tu kanaingia na kuvuruga kila kitu
Kama pesa mwenyeji ikiwa na nguvu, kivuruge ataharibu na kuondoka bila kufanikiwa.. Lakini ikiwa haina ulinzi mkubwa kiroho pesa kivuruge itaharibu kila kitu mpaka mhusika kurudi ground zero
Ufanyeje sasa
Epuka pesa ya dili chafu
Epuka pesa ya udhalimu
Epuka pesa yenye damu hasa ya mtu
Epuka pesa ya mganga
Epuka pesa ya dhuluma! NK

Pesa za namna hiyo zikishindwa kushambulia uko wake zitamgeukia mmiliki
Si kila aliyefilisika ni mpumbavu.. Wengine hawajui nini kilitokea hadi wakafilisika ama biashara kufa!
kwa Chief Godlove ni aje?
 
Back
Top Bottom