Pesa ikikubali nitatimka bongo nikaishi Sweden

Pesa ikikubali nitatimka bongo nikaishi Sweden

Objective football

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2023
Posts
1,195
Reaction score
2,771
Tangu mdogo nasoma, kuna familia jirani na kwetu walikua wakishua sana. Watoto wa ile familia kila wakija kumsalimu Babu yangu nyumbani, walikua wanamletea
zawadi nyingi na vitu vya thamani sana.

Babu hakuishia hapo, muda mwingi alinijaza stori kuwa hawa jirani zako unao waona, wako sweden ulaya kwasababu wamesoma, nawewe jitahidi uwe kama wao ukiyazingatia masomo kwasababu sweden ni nchi nzuri na ni rafiki sana wa Tanzania.

Hali hiyo ikafanya nijenge mentality ambayo haijafa hadi ukubwani kwangu.
 
Tangu mdogo nasoma, kuna familia jirani na kwetu walikua wakishua sana. Watoto wa ile familia kila wakija kumsalimu Babu yangu nyumbani, walikua wanamletea
zawadi nyingi na vitu vya thamani sana.

Babu hakuishia hapo, muda mwingi alinijaza stori kuwa hawa jirani zako unao waona, wako sweden ulaya kwasababu wamesoma, nawewe jitahidi uwe kama wao ukiyazingatia masomo kwasababu sweden ni nchi nzuri na ni rafiki sana wa Tanzania.

Hali hiyo ikafanya nijenge mentality ambayo haijafa hadi ukubwani kwangu.
Ukipata chance nenda mkuu katafute maisha
 
Ngoja waje, jf ni darasa tosha
IMG-20211215-WA0004_094154.jpg
 
Tangu mdogo nasoma, kuna familia jirani na kwetu walikua wakishua sana. Watoto wa ile familia kila wakija kumsalimu Babu yangu nyumbani, walikua wanamletea
zawadi nyingi na vitu vya thamani sana.

Babu hakuishia hapo, muda mwingi alinijaza stori kuwa hawa jirani zako unao waona, wako sweden ulaya kwasababu wamesoma, nawewe jitahidi uwe kama wao ukiyazingatia masomo kwasababu sweden ni nchi nzuri na ni rafiki sana wa Tanzania.

Hali hiyo ikafanya nijenge mentality ambayo haijafa hadi ukubwani kwangu.
IMG_20231109_134912_287.jpg
 
Back
Top Bottom