GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hiyo ni nzuri sana kwa utalii. Iko wapi na mimi nikashangae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni nzuri sana kwa utalii. Iko wapi na mimi nikashangae?
kwamba south africa maisha ni matam zaidi ya china mshahara mnono na nigeria ni zaidi ya egypt
Mkuu achana na sweden mwakani wanaondoa ubalozi wao mjini dar.Wanaufunga nenda nchi hii hapa inaitwa luxemburg ukipata viza ya kuingia hiyo nchi ujuwe umeingia nchi ya Matajiri halafu ipo na amani sana kuliko hiyo Sweden.Tangu mdogo nasoma, kuna familia jirani na kwetu walikua wakishua sana. Watoto wa ile familia kila wakija kumsalimu Babu yangu nyumbani, walikua wanamletea
zawadi nyingi na vitu vya thamani sana.
Babu hakuishia hapo, muda mwingi alinijaza stori kuwa hawa jirani zako unao waona, wako sweden ulaya kwasababu wamesoma, nawewe jitahidi uwe kama wao ukiyazingatia masomo kwasababu sweden ni nchi nzuri na ni rafiki sana wa Tanzania.
Hali hiyo ikafanya nijenge mentality ambayo haijafa hadi ukubwani kwangu.
Jipige pige kifuani Sema Mimi mjingaTangu mdogo nasoma, kuna familia jirani na kwetu walikua wakishua sana. Watoto wa ile familia kila wakija kumsalimu Babu yangu nyumbani, walikua wanamletea
zawadi nyingi na vitu vya thamani sana.
Babu hakuishia hapo, muda mwingi alinijaza stori kuwa hawa jirani zako unao waona, wako sweden ulaya kwasababu wamesoma, nawewe jitahidi uwe kama wao ukiyazingatia masomo kwasababu sweden ni nchi nzuri na ni rafiki sana wa Tanzania.
Hali hiyo ikafanya nijenge mentality ambayo haijafa hadi ukubwani kwangu.
vipi niendelee kubaki misungwi chief?Jipige pige kifuani Sema Mimi mjinga
That's data from a very reliable source. What you do with it is none of my business, sir!kwamba south africa maisha ni matam zaidi ya china mshahara mnono na nigeria ni zaidi ya egypt
Huamihaji lazima wakupige PINkwa wazoefu hali ikoje sweden, nataka nizamie huko
huku katoro nishachoka
Wewe komaa tu hapohapo Malampakavipi niendelee kubaki misungwi chief?
nakubaliana wala sija ku attack ila nafanya imagination tuThat's raw data from a very reliable source. What you do with it is none of my business, sir!
eb edit hii reply inaukakas sana mkuuWewe komaa tu hapohapo Malampaka
Na wewe edit hapo sasaeb edit hii reply inaukakas sana mkuu
SawaNa wewe edit hapo sasa
wako mafichoni mkuuNAWEKA KAMBI HAPA.....
fafanua chief, na plan ya kujitafuta swedenNi sehemu nzuri ya kuchuma.
Ila kama umezoea maisha ya kujichanganya na vibe za kitaa...kule utapaona gerezani.
bishoo ninataka nizamie ughaibunitulia robatinyo ww ni wa hapa hapa kwenye obujektivu futboli
Huamihaji 😳😳😳Huamihaji lazima wakupige PIN
luxe ni nchi ndogo sana, na sijui kuhusu ukaribu wao na tz!Mkuu achana na sweden mwakani wanaondoa ubalozi wao mjini dar.Wanaufunga nenda nchi hii hapa inaitwa luxemburg ukipata viza ya kuingia hiyo nchi ujuwe umeingia nchi ya Matajiri halafu ipo na amani sana kuliko hiyo Sweden.
![]()
![]()
View attachment 2809910
![]()
![]()
Luxembourg - Wikipedia
en.wikipedia.org
dah m mwenyew sjui chochote ila bongo jau mkuubishoo ninataka nizamie ughaibuni
lugha iko fresh, no criminal records so sijui naanzia wapi kuingia sweden
Wewe unataka nchi kubwa ili iweje?au unahitaji kupata maisha mazuri? kama unataka nchi kubw anenda Ujerumani au Ufaransa. Mimi ninakupa ushauri mzuri wa nchi yenye amani na utulivu wewe unakataa?shauri yako.luxe ni nchi ndogo sana, na sijui kuhusu ukaribu wao na tz!