To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hii ni kotekote, upande ke na upande me huingia penzini kimasilahi hivyo inachangia sana mahusiano yatawaliwe na ugomvi na ndoa kutokuwa na amani, sababu mtu anaingia penzini akitarajia kitu fulani akikikosa ndipo anafungua makucha au akishakipata ndipo hufungua makucha.
Shetani kasimama kidete kwenye pesa. Pesa ni shetani ingawa bila pesa bado hatujaishi.
Mungu tusaidie🙏
Shetani kasimama kidete kwenye pesa. Pesa ni shetani ingawa bila pesa bado hatujaishi.
Mungu tusaidie🙏