Pesa inavyonifanya kuwa kicheche

Pesa inavyonifanya kuwa kicheche

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,324
Reaction score
5,933
Wadau musalam!!!

Napitia changamoto saana kwenye hali yangu ya mahusiano kwa sasa...

Nimegundua nna moyo wa mapenzi ya dhati saana tatizo ni mkwanja yaani pesa inanifelisha mpaka napagawa yaani.

Yaani ipo hivi kwakuwa nimejaaliwa dizaini ya mwonekano wa mtu mwenye vijisenti so imekua rahisi kwangu kuwanasa watoto wazuri.

Shida inakuja kwenye expectations zao, yaani wanadhani mi ni bonge la danga la kutatua shida zao wakati binafsi zangu msoto mbaya.

Basi naishia kuwala na kuwekwa "sabu" roho inaniuma ila wananiambia tatizo hela sina hiyvo niwe mpole mpaka ifike zamu yangu.. Roho inaniuma naenda kwa mwengine napo ni ivo ivo

Mwisho najikuta kipindi kifupi nishawatafuna wengi bila kutegemea yote kwasababu ya pesa moyo unaniuma kwakuwa sijazoea kuwachezea...

Nawaza nitafute mtaalam ka vip aondoe chumba cha mapenzi kwenye ubongo wangu nisiwawaze kabisa wa nisiwe na hamu ya kula mzigo.. Nimejeribu Nofap nimefel coz mzuka wa kula mzigo ka nimetupiwa jini yaan na wakummiliki mwenyewe sina nnaowapata wanataka ni share sababu sina hela..

Swali
Wanawake kweli kabisa hamna true love?? You only love money???
 
Tatizo unapenda wanawake wenye muonekano mzuri (kimavazi na vitu wanavyo tumia). Ili uachanae na tabia ya kuruka ruka ni vyema utafute mwanamke wa daraja la kuendana na uwezo wako.

Ukipata ambae anavyaa vitenge, vijora, anasuka kawaida na hapendi kwenda na wakati sana unaweza akatulia na wewe.

Vya kupendeza vinahitaji kupendezeshwa!!!!
 
Wadau musalam!!!

Napitia changamoto saana kwenye hali yangu ya mahusiano kwa sasa...
Nimegundua nna moyo wa mapenzi ya dhati saana tatizo ni mkwanja yaani pesa inanifelisha mpaka napagawa yaani.

Yaani ipo hivi kwakuwa nimejaaliwa dizaini ya mwonekano wa mtu mwenye vijisenti so imekua rahisi kwangu kuwanasa watoto wazuri.

Shida inakuja kwenye expectations zao, yaani wanadhani mi ni bonge la danga la kutatua shida zao wakati binafsi zangu msoto mbaya.

Basi naishia kuwala na kuwekwa "sabu" roho inaniuma ila wananiambia tatizo hela sina hiyvo niwe mpole mpaka ifike zamu yangu.. Roho inaniuma naenda kwa mwengine napo ni ivo ivo

Mwisho najikuta kipindi kifupi nishawatafuna wengi bila kutegemea yote kwasababu ya pesa moyo unaniuma kwakuwa sijazoea kuwachezea...

Nawaza nitafute mtaalam ka vip aondoe chumba cha mapenzi kwenye ubongo wangu nisiwawaze kabisa wa nisiwe na hamu ya kula mzigo.. Nimejeribu Nofap nimefel coz mzuka wa kula mzigo ka nimetupiwa jini yaan na wakummiliki mwenyewe sina nnaowapata wanataka ni share sababu sina hela..

Swali
Wanawake kweli kabisa hamna true love?? You only love money???
Hujampata tu atakaeupenda
Tulia utapata mtu anaeleweka!
 
Tatizo unapenda wanawake wenye muonekano mzuri (kimavazi na vitu wanavyo tumia). Ili uachanae na tabia ya kuruka ruka ni vyema utafute mwanamke wa daraja la kuendana na uwezo wako.

Ukipata ambae anavyaa vitenge, vijora, anasuka kawaida na hapendi kwenda na wakati sana unaweza akatulia na wewe.

Vya kupendeza vinahitaji kupendezeshwa!!!!
[emoji1787]hapo kwenye vijora nimecheka!
 
Sasa huo muda unaotumia kuzunguka zunguks kwa mademu mbona usiutumie kutafuta hela ili hao mademu wanaokukatalia wake kugongeka kwako Mara mbili mbili?
Tafuta PESA.
Wadau musalam!!!

Napitia changamoto saana kwenye hali yangu ya mahusiano kwa sasa...

Nimegundua nna moyo wa mapenzi ya dhati saana tatizo ni mkwanja yaani pesa inanifelisha mpaka napagawa yaani.

Yaani ipo hivi kwakuwa nimejaaliwa dizaini ya mwonekano wa mtu mwenye vijisenti so imekua rahisi kwangu kuwanasa watoto wazuri.

Shida inakuja kwenye expectations zao, yaani wanadhani mi ni bonge la danga la kutatua shida zao wakati binafsi zangu msoto mbaya.

Basi naishia kuwala na kuwekwa "sabu" roho inaniuma ila wananiambia tatizo hela sina hiyvo niwe mpole mpaka ifike zamu yangu.. Roho inaniuma naenda kwa mwengine napo ni ivo ivo

Mwisho najikuta kipindi kifupi nishawatafuna wengi bila kutegemea yote kwasababu ya pesa moyo unaniuma kwakuwa sijazoea kuwachezea...

Nawaza nitafute mtaalam ka vip aondoe chumba cha mapenzi kwenye ubongo wangu nisiwawaze kabisa wa nisiwe na hamu ya kula mzigo.. Nimejeribu Nofap nimefel coz mzuka wa kula mzigo ka nimetupiwa jini yaan na wakummiliki mwenyewe sina nnaowapata wanataka ni share sababu sina hela..

Swali
Wanawake kweli kabisa hamna true love?? You only love money???
 
Wadau musalam!!!

Napitia changamoto saana kwenye hali yangu ya mahusiano kwa sasa...

Nimegundua nna moyo wa mapenzi ya dhati saana tatizo ni mkwanja yaani pesa inanifelisha mpaka napagawa yaani.

Yaani ipo hivi kwakuwa nimejaaliwa dizaini ya mwonekano wa mtu mwenye vijisenti so imekua rahisi kwangu kuwanasa watoto wazuri.

Shida inakuja kwenye expectations zao, yaani wanadhani mi ni bonge la danga la kutatua shida zao wakati binafsi zangu msoto mbaya.

Basi naishia kuwala na kuwekwa "sabu" roho inaniuma ila wananiambia tatizo hela sina hiyvo niwe mpole mpaka ifike zamu yangu.. Roho inaniuma naenda kwa mwengine napo ni ivo ivo

Mwisho najikuta kipindi kifupi nishawatafuna wengi bila kutegemea yote kwasababu ya pesa moyo unaniuma kwakuwa sijazoea kuwachezea...

Nawaza nitafute mtaalam ka vip aondoe chumba cha mapenzi kwenye ubongo wangu nisiwawaze kabisa wa nisiwe na hamu ya kula mzigo.. Nimejeribu Nofap nimefel coz mzuka wa kula mzigo ka nimetupiwa jini yaan na wakummiliki mwenyewe sina nnaowapata wanataka ni share sababu sina hela..

Swali
Wanawake kweli kabisa hamna true love?? You only love money???

Tafuta hela
 
Wadau musalam!!!

Napitia changamoto saana kwenye hali yangu ya mahusiano kwa sasa...

Nimegundua nna moyo wa mapenzi ya dhati saana tatizo ni mkwanja yaani pesa inanifelisha mpaka napagawa yaani.

Yaani ipo hivi kwakuwa nimejaaliwa dizaini ya mwonekano wa mtu mwenye vijisenti so imekua rahisi kwangu kuwanasa watoto wazuri.

Shida inakuja kwenye expectations zao, yaani wanadhani mi ni bonge la danga la kutatua shida zao wakati binafsi zangu msoto mbaya.

Basi naishia kuwala na kuwekwa "sabu" roho inaniuma ila wananiambia tatizo hela sina hiyvo niwe mpole mpaka ifike zamu yangu.. Roho inaniuma naenda kwa mwengine napo ni ivo ivo

Mwisho najikuta kipindi kifupi nishawatafuna wengi bila kutegemea yote kwasababu ya pesa moyo unaniuma kwakuwa sijazoea kuwachezea...

Nawaza nitafute mtaalam ka vip aondoe chumba cha mapenzi kwenye ubongo wangu nisiwawaze kabisa wa nisiwe na hamu ya kula mzigo.. Nimejeribu Nofap nimefel coz mzuka wa kula mzigo ka nimetupiwa jini yaan na wakummiliki mwenyewe sina nnaowapata wanataka ni share sababu sina hela..

Swali
Wanawake kweli kabisa hamna true love?? You only love money???
Kaka wewe wakule tuu wala usiwaone huruma hawa...wapelekee moto tuu
 
Back
Top Bottom