Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daraja gani lisilopenda hela ndugu yangu ebu Nielekeze kwanzaTatizo unapenda wanawake wenye muonekano mzuri (kimavazi na vitu wanavyo tumia). Ili uachanae na tabia ya kuruka ruka ni vyema utafute mwanamke wa daraja la kuendana na uwezo wako.
Ukipata ambae anavyaa vitenge, vijora, anasuka kawaida na hapendi kwenda na wakati sana unaweza akatulia na wewe.
Vya kupendeza vinahitaji kupendezeshwa!!!!
jombi we unaweza?Sasa kama shida ni helia si
Kuoa si unaanza na mchumba sasa ukiona muelekeo sio si unatafuna kabisa ili akisepa isiwe hasara kwangu??? Nikimpata wakutulia naoa mkuuAcha zinaa uoe
Hapana situmii hela tatizo ni mwonekano tena nipo very romantic tatizo mkwanja mzee wenyewe wanafungukaUnavyowafuata unaingia kwa gear ya pesa? Kama ndivyo hapo unafeli
Saka pesa utulie na mmoja sasaHapana situmii hela tatizo ni mwonekano tena nipo very romantic tatizo mkwanja mzee wenyewe wanafunguka
Nilishaoa mkuu mke akanikimbia sababu ya pesa ndo mana nahangaika ivijaribu labda ndoa utatulia pengine
vilevile chukua tahadhari UKIMWI upo..
Hata nikipata ntawakatili saana hawa viumbESaka pesa utulie na mmoja sasa
mzee baba pesa sio kukaanga yai fasta limeiva... sa kama mademu wanajilengesha niwakatae???Sasa huo muda unaotumia kuzunguka zunguks kwa mademu mbona usiutumie kutafuta hela ili hao mademu wanaokukatalia wake kugongeka kwako Mara mbili mbili?
Tafuta PESA.
So what i Have to do nigga while if every chick run away from poor guymoney over bitches, my niggas trust my senses, and I will take on that shit as the Lord is my witness! And you all have witnessed, but I have not finished. So keep your mouth closed and let your eyes listen.
Tatizo genye haitaki kusubiriTafuta hela
Kina Ngonyani nawajua mzee wala sibishi mkuuMzee wng mm jini langu ni Kali kuliko lako niamini mm
Acha dharau kijanaUtoto raha sana
Aaah sister muonekano ni kitambi??Una kitambi? Muonekano wa vijisent ndiyo upoje?
Moto nawapelekea kweli mpaka naumwa maana kama kitanda kipolegelege nnakawaida ya kuvunja kabisaaaKaka wewe wakule tuu wala usiwaone huruma hawa...wapelekee moto tuu
Bora utafute mwanamke mwenye hela zake wakijijin nao majanga wakijanjarukaWanawake wa siku hz pasua kichwa hela mbele mm nipo kitaasisi flan cha fedha kazi yangu ni ya contract basi kila mwanamke ninaempata expectations zake ni kibunda nikajaribu kumtafuta wa kijijini nae ni pesa tu
Mkulugenzi kwani umeishia la ngap?Mkuu kichwa cha Uzi kinasigana na Uzi wenyewe. Siku nyingine jitahidi viendane.