Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukaombewe labda kuna mtu kakufunga kirohoNilishaoa mkuu mke akanikimbia sababu ya pesa ndo mana nahangaika ivi
Nahisi hivyo pia japo mke wangu alinipenda nikiwa sina kituukaombewe labda kuna mtu kakufunga kiroho
🙌nimekubaliNo romance without finance
We mmalawi umegundua nn mpaka sasa kinachosaidia jamii yako?Tanzania ina safari ndefu sana, kama watu wenyewe ndio hawa aliowaandaa Baba wa Taifa. No wonder umaskini, ujinga, na maradhi vinachipuka kila mahali kila uchao.
Where ignorance is bliss, it is folly 2B wise.
Hakuna namna 😃😃🙌nimekubali
Kwa ivo mmekubaliana kuufuta ule msemo wa kila mwanaume aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake??Hakuna namna 😃😃
Msemo unabaki pale pale, tunawapa mzuka wa kutafuta pesaKwa ivo mmekubaliana kuufuta ule msemo wa kila mwanaume aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake??
Aah wapiMsemo unabaki pale pale, tunawapa mzuka wa kutafuta pesa
Unakubali kimoyo moyo😃😃Aah wapi
Huu uongo siwezi ukubali kamwe.Unakubali kimoyo moyo😃😃
Mzuta wakati mnatukataa manawapa wenye hela?? Nshajua kwann wenye hela hawana mapenzi kumbe wamepitia mengi kama hayaMsemo unabaki pale pale, tunawapa mzuka wa kutafuta pesa
tuishi nao tu kwakua ni mama zetuNamna mwanamke anavyofikiri na kuishi mawazo yake 😂😂
Sa bila hela tutakula niniMzuta wakati mnatukataa manawapa wenye hela?? Nshajua kwann wenye hela hawana mapenzi kumbe wamepitia mengi kama haya
Sa bila hela tutakula nini
Ina maana baada ya matokeo ya form four kutoka shule ndo basi tena? Si hata nenda kajiunge Computer Course au English Course kuliko kukaa kuwaza vitu vya kipumbavu na kuja anzishia uzi? Hapo kwa dada yako akiachika. Si mnaachika wote?Wadau musalam!!!
Napitia changamoto saana kwenye hali yangu ya mahusiano kwa sasa...
Nimegundua nna moyo wa mapenzi ya dhati saana tatizo ni mkwanja yaani pesa inanifelisha mpaka napagawa yaani.
Yaani ipo hivi kwakuwa nimejaaliwa dizaini ya mwonekano wa mtu mwenye vijisenti so imekua rahisi kwangu kuwanasa watoto wazuri.
Shida inakuja kwenye expectations zao, yaani wanadhani mi ni bonge la danga la kutatua shida zao wakati binafsi zangu msoto mbaya.
Basi naishia kuwala na kuwekwa "sabu" roho inaniuma ila wananiambia tatizo hela sina hiyvo niwe mpole mpaka ifike zamu yangu.. Roho inaniuma naenda kwa mwengine napo ni ivo ivo
Mwisho najikuta kipindi kifupi nishawatafuna wengi bila kutegemea yote kwasababu ya pesa moyo unaniuma kwakuwa sijazoea kuwachezea...
Nawaza nitafute mtaalam ka vip aondoe chumba cha mapenzi kwenye ubongo wangu nisiwawaze kabisa wa nisiwe na hamu ya kula mzigo.. Nimejeribu Nofap nimefel coz mzuka wa kula mzigo ka nimetupiwa jini yaan na wakummiliki mwenyewe sina nnaowapata wanataka ni share sababu sina hela..
Swali
Wanawake kweli kabisa hamna true love?? You only love money???
Hawa wanawake wenye hela wanapatikana wapi Mkuu?Bora utafute mwanamke mwenye hela zake wakijijin nao majanga wakijanjaruka
wapo we shinda kwenye migahawa ya kishua tuuHawa wanawake wenye hela wanapatikana wapi Mkuu?