Pesa inavyonifanya kuwa kicheche

Daraja gani lisilopenda hela ndugu yangu ebu Nielekeze kwanza
 
Sasa huo muda unaotumia kuzunguka zunguks kwa mademu mbona usiutumie kutafuta hela ili hao mademu wanaokukatalia wake kugongeka kwako Mara mbili mbili?
Tafuta PESA.
mzee baba pesa sio kukaanga yai fasta limeiva... sa kama mademu wanajilengesha niwakatae???
 
Tanzania ina safari ndefu sana, kama watu wenyewe ndio hawa aliowaandaa Baba wa Taifa. No wonder umaskini, ujinga, na maradhi vinachipuka kila mahali kila uchao.

Where ignorance is bliss, it is folly 2B wise.
 
Wanawake wa siku hz pasua kichwa hela mbele mm nipo kitaasisi flan cha fedha kazi yangu ni ya contract basi kila mwanamke ninaempata expectations zake ni kibunda nikajaribu kumtafuta wa kijijini nae ni pesa tu
 
money over bitches, my niggas trust my senses, and I will take on that shit as the Lord is my witness! And you all have witnessed, but I have not finished. So keep your mouth closed and let your eyes listen.
So what i Have to do nigga while if every chick run away from poor guy
 
Mkuu kichwa cha Uzi kinasigana na Uzi wenyewe. Siku nyingine jitahidi viendane.
 
Wanawake wa siku hz pasua kichwa hela mbele mm nipo kitaasisi flan cha fedha kazi yangu ni ya contract basi kila mwanamke ninaempata expectations zake ni kibunda nikajaribu kumtafuta wa kijijini nae ni pesa tu
Bora utafute mwanamke mwenye hela zake wakijijin nao majanga wakijanjaruka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…