Pesa inavyonifanya kuwa kicheche

Tanzania ina safari ndefu sana, kama watu wenyewe ndio hawa aliowaandaa Baba wa Taifa. No wonder umaskini, ujinga, na maradhi vinachipuka kila mahali kila uchao.

Where ignorance is bliss, it is folly 2B wise.
We mmalawi umegundua nn mpaka sasa kinachosaidia jamii yako?
 
Msemo unabaki pale pale, tunawapa mzuka wa kutafuta pesa
Mzuta wakati mnatukataa manawapa wenye hela?? Nshajua kwann wenye hela hawana mapenzi kumbe wamepitia mengi kama haya
 
Ina maana baada ya matokeo ya form four kutoka shule ndo basi tena? Si hata nenda kajiunge Computer Course au English Course kuliko kukaa kuwaza vitu vya kipumbavu na kuja anzishia uzi? Hapo kwa dada yako akiachika. Si mnaachika wote?
 
Wanawake Ni kweli kabisa hamna true love?you love only money?😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

Tafuta hela....acha mawazo ya muonekano wa hela ilhali huna hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…