Pesa inavyonifanya kuwa kicheche

Ina maana baada ya matokeo ya form four kutoka shule ndo basi tena? Si hata nenda kajiunge Computer Course au English Course kuliko kukaa kuwaza vitu vya kipumbavu na kuja anzishia uzi? Hapo kwa dada yako akiachika. Si mnaachika wote?
Kwa taarifa yako isingekua baba yako kuniwahi mi ningekua baba yako boya wewee
 
Una warranty card ya miaka mingapi??
eti warrant card. maisha ni tahadhari bila tahadhari watu wangekufa wakiwa watoto ila sababu wazazi walichukua tahadhari kukulinda ukafika umri wa kujitambua ukafanya ngono zembe ukafa ukawacha hata hao wazazi walio kulea. mungu amekupa miaka 80 chini ya hapo huna cha kumlaumu utailaumu hii dunia yako iliyojaa matatizo na magojwa..chukua tahadhari wacha ngono
 
utakufa! utakufaaa! vibaya nakuhurumia wewe...
Una warranty card ya miaka minga
Fact... I take it buddy
 
Omba ukasomeshwe hata english course siyo unakaa tu kwa shemeji yako unalala unasikiliza chumbani kwa dada na shemeji yako.....
Mimi ni X wa mamma yako kiumri na asset nilizonazo baba ako
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…