Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
HahaNot even a single dollar has left the planet since you were born. Jua tu namna ya kuzitegesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaNot even a single dollar has left the planet since you were born. Jua tu namna ya kuzitegesha
Hapo ndipo nilipo jua kua vyama vya upinzani tz vinatumiwa na mafisadi kina rostam azizi ..gsm ..na mafisadi ya madiniNdiyo maana Chadema ni mazwazwa mnapinga hadi ujenzi wa bwawa la umeme ambao ni kwa ajili yenu wenyewe.
Kucha kuombaomba tu walichofanyia kazi wanaume wenzenu,
. Lema na Lisu Familia zao wanalishwa na wazungu.
Akili zako ndogo sana ...kazi kuu ya pesa ya serikali siyo kulipana mishaharaUkiona hivi ujue pesa inakamuliwa kutoka kwenye kodi na ushuru na serikali haitoi ajira.
Ajira zikitolewa maana yake ni mifereji ya kuleta pesa mtaani
Sasa Rostam si m ccm mwenzenu?Hapo ndipo nilipo jua kua vyama vya upinzani tz vinatumiwa na mafisadi kina rostam azizi ..gsm ..na mafisadi ya madini
Tangu lini uliwahi kumiliki hata mshipa wa akili?😂Akili zako ndogo sana ...kazi kuu ya pesa ya serikali siyo kulipana mishahara
Hana adabu kabisa huyu, yeye anakula vya urithi na vya kuletewa na mumewe(kwa tabia hizo sina hakika kama kaolewa). Hajui vinapatikanajeMhafidhina huyo
Mafisadi ya samia yana torosha pesa za serikali na kuzificha nje ya nchi tofauti na mafisadi wote tulio kuwa nao vipindi vya nyuma...sasa hivi pesa zote asilimia 70 % zinazo ibiwa na mafisadi papa zinapelekwa arabuni na south africa ...wakati wa kikwete mafisadi yalijisahau yakawa yanawekeza pesa wanazo iba nchini ...sasa hivi wana hofu uenda akatokea rais mzalendo kama JPM hivyo mali zao za kifisadi kukamatwaKuna tatizo, tunahitaji wataalam wa uchumi watueleze kuna nini.
1. Je kodi inakusanywa lakini hiyo pesa hairudi mtaani kiasi cha pesa kupotea mtaani?
2. Serikali haitoi ajira ya kutosha?
3. Miradi mikubwa zinapewa kampuni za kigeni tu?
4. Mafisadi wanaficha pesa nje?
Sijui mkuu
Kumbe hata hujui nini kinasababisha mzunguko wa pesa.Akili zako ndogo sana ...kazi kuu ya pesa ya serikali siyo kulipana mishahara
Hii nakuelewa kiasiMafisadi ya samia yana torosha pesa za serikali na kuzificha nje ya nchi tofauti na mafisadi wote tulio kuwa nao vipindi vya nyuma...sasa hivi pesa zote asilimia 70 % zinazo ibiwa na mafisadi papa zinapelekwa arabuni na south africa ...wakati wa kikwete mafisadi yalijisahau yakawa yanawekeza pesa wanazo iba nchini ...sasa hivi wana hofu uenda akatokea rais mzalendo kama JPM hivyo mali zao za kifisadi kukamatwa
Kama hujui kariakoo maghorofa 10 yanamilikiwa na mtu mmoja.Kariakoo pesa hakuna kwa tarehe hizi , na hiyo ni kawaida. Ila kinachonishangaza, maghorofa yanachipuka Kariakoo kama uyoga.
Kuna wachache wana pesa za kufa mtuKariakoo pesa hakuna kwa tarehe hizi , na hiyo ni kawaida. Ila kinachonishangaza, maghorofa yanachipuka Kariakoo kama uyoga.
Linapokuja suala la dini hutetea hata majambazi.Hana adabu kabisa huyu, yeye anakula vya urithi na vya kuletewa na mumewe(kwa tabia hizo sina hakika kama kaolewa). Hajui vinapatikanaje
Rostam azizi siyo ccm wala upinzani bali yeye ni kundi la mafisadi na raia feki ambao wao wanacheza tu na upepo wa adui yao mkubwa ni mtu yoyote aliye (mzalendo) iwe huyo mtu ni ccm au upinzani aijalishi na rafiki yao mkubwa ni yoyote aliye kinyume na uzalendo awe ni ccm au upinzani hivyo wakati wa JPM Rostam azizi na wahuni wenzie walikuwa nyuma ya watu wote wanao pinga uzalendo wa jpm hivyo alikuwa nyuma ya chadema maana nao walianza rasmi kupinga uzalendo wakawa watetezi wa mafisadi wote hadi wamadini nkSasa Rostam si m ccm mwenzenu?
Unakiri wazi kuwa ccm ni mafisadi wakubwa?
Ndio maana Magufuli alikuwa uchumi, yeye kila kitu Jeshi, ujenzi Jeshi kampuni za ujenzi zinakufa, ulinzi Jeshi Suma JKT, kampuni binafsi zinakosa malindo yenye malipo bora.Kumbe hata hujui nini kinasababisha mzunguko wa pesa.
Seriksli ndiye tajiri mkuu, mwajiri mkuu na mmiliki mkuu wa pesa.
Pesa inakuja mtaani kupitia;
1. Mishahara na posho
2. Kutoa tenda.
3. Kuanzisha miradi ya maendelea.
Kupitia hayo hapo juu watu hulipwa pesa na pesa huja mtaani.
Waliolipwa na serikali nao huanzisha biashara na kulipa watu mishahara.
Waliolipwa mishahara nao hufanya manunuzi ndipo uchumi na pesa huchangamka mtaani
Baba yako kauza ng'ombe wake kukusomesha kumbe kauza ngombe kusomesha ng'ombeTangu lini uliwahi kumiliki hata mshipa wa akili?[emoji23]
Mbona JPM alikuwa akimwalika Ikulu?Rostam azizi siyo ccm wala upinzani bali yeye ni kundi la mafisadi na raia feki ambao wao wanacheza tu na upepo wao adui yao mkubwa ni mtu yoyote aliye (mzalendo) iwe huyo mtu ni ccm au upinzani aijalishi na rafiki yao mkubwa ni yoyote aliye kinyume na uzalendo awe ni ccm au upinzani hivyo wakati wa JPM Rostam azizi na wahuni wenzie walikuwa nyuma ya watu wote wanao pinga uzalendo wa jpm hivyo alikuwa nyuma ya chadema maana nao walianza rasmi kupinga uzalendo wakawa watetezi wa mafisadi wote hadi wamadini nk
Tatizo kubwa ninaloliona ni pesa nyingi kwenda Chin na Japan, maana hata dollar haipatikani muda huu, lazima ukainunue kwenye blaack market, na inauzwa 2,700/=. Shida hapa ni capital nyingi inatumika kuagiza magari na bidhaa nyingine za kijinga jinga toka China na Japan, tunabaki hatuna pesa mtaani, na magari namba E yamefurika barabarani, pesa itatoka wapi?Kuna tatizo, tunahitaji wataalam wa uchumi watueleze kuna nini.
1. Je kodi inakusanywa lakini hiyo pesa hairudi mtaani kiasi cha pesa kupotea mtaani?
2. Serikali haitoi ajira ya kutosha?
3. Miradi mikubwa zinapewa kampuni za kigeni tu?
4. Mafisadi wanaficha pesa nje?
Sijui mkuu
Haikuwa sawa serikali humiliki njia zote za uchumiNdio maana Magufuli alikuwa uchumi, yeye kila kitu Jeshi, ujenzi Jeshi kampuni za ujenzi zinakufa, ulinzi Jeshi Suma JKT, kampuni binafsi zinakosa malindo yenye malipo bora.
Magufuli alitamani Hadi Taifa stars iwakilishwe na Jeshi, lakini ajabu Jeshi lilishindwa kutii Amri ndogo tu ya kwake kumtowa hospitali kurudisha nyumbani akafie nyumbani.
Hali ikiendelea hivi nchi itakwamaTatizo kubwa ninaloliona ni pesa nyingi kwenda Chin na Japan, maana hata dollar haipatikani muda huu, lazima ukainunue kwenye blaack market, na inauzwa 2,700/=. Shida hapa ni capital nyingi inatumika kuagiza magari na bidhaa nyingine za kijinga jinga toka China na Japan, tunabaki hatuna pesa mtaani, na magari namba E yamefurika barabarani, pesa itatoka wapi?