Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Pesa hazionekani lakini daily tunaona machawa kina Doto Magari wanavyotuvimbia na maburungutu ya ela mitandaoni [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujui unaye bishana naye ni nani ? Hichi ninacho kuambia ndiyo kinacho sababisha kwa asilimia 100% mafisadi kipindi hiki yapo tayari kununua nyumba yenye thamani ya sh mil 200 kwa shilingi mil1000 = 1bil dubai kuliko kujenga nyumba 5 kama hiyo waliyo nunua dubai nchini.Hii nakuelewa kiasi
Kwani unadhani alikuwa anamualika ili iweje ?...huyo rostam azizi anacheza tu na upepo ... wewe unadhani ni nini kilitokea hadi mbunge jangiri ambaye ni mdogo wake rostam azizi kukamatwa kwanini akufungwa jela .. huyo jamaa kabobea katika mbinu maana anatumia pesa zisizo zake yeye anachota tu serikalini.Mbona JPM alikuwa akimwalika Ikulu?
Anaekuambia pesa hazionekani ni kajamba nani na mchimba chumvi anae dunduliza.Pesa hazionekani lakini daily tunaona machawa kina Doto Magari wanavyotuvimbia na maburungutu ya ela mitandaoni [emoji3]
Lazima utokwe povu. Tunafahamu, ukweli hamuupendi.Kuwa na adabu, ficha upumbavu wako.
Hela ya chawa isikutishe mkuu.Pesa hazionekani lakini daily tunaona machawa kina Doto Magari wanavyotuvimbia na maburungutu ya ela mitandaoni [emoji3]
Hujamaliza kuongea?Mkuu Wacha nipokee simu mara moja
Tutafanya nini labda kampuni zije kuwekeza huku Tz tynunulie hukuhuku tugawane hizo pesa kupitia ajira na kodiTatizo kubwa ninaloliona ni pesa nyingi kwenda Chin na Japan, maana hata dollar haipatikani muda huu, lazima ukainunue kwenye blaack market, na inauzwa 2,700/=. Shida hapa ni capital nyingi inatumika kuagiza magari na bidhaa nyingine za kijinga jinga toka China na Japan, tunabaki hatuna pesa mtaani, na magari namba E yamefurika barabarani, pesa itatoka wapi?
Nimemaliza mkuuHujamaliza kuongea?
Jibu ni kuwa majizi na mafisadi yanaiba na kwenda kuficha Hela nje ya nchi..Kuna tatizo, tunahitaji wataalam wa uchumi watueleze kuna nini.
1. Je kodi inakusanywa lakini hiyo pesa hairudi mtaani kiasi cha pesa kupotea mtaani?
2. Serikali haitoi ajira ya kutosha?
3. Miradi mikubwa zinapewa kampuni za kigeni tu?
4. Mafisadi wanaficha pesa nje?
Sijui mkuu
😄😄😄 Karbu sana mkuuSio kwamba waendao KWA waganga huwa wanapenda,saa nyingine hali inakuwa iko taiti,unajikuta uko Bariadi kutafuta suluhisho. Kidding
Hili nalo nenoJibu ni kuwa majizi na mafisadi yanaiba na kwenda kuficha Hela nje ya nchi..
Mi nilidhani kariakoo biashara ni nzuri siku zote ni kupiga pesa tuBora wewe umefanya tathmini ukagundua umedrop Kwa kiasi gani? Tangu January 20 upatikanaji wa hela umekua mgumu sana inafika point unajaribu kubalance mambo yaende upate tu hela ya kusurvive
Magufuli alididimiza nchi vip wakati alikuwa anarekebisha makosa ya Msoga?Hela zipo kwa watu tena walioiba serikalini ulitaka Magu afanye nini? Kulikuwa na kesi nyingi za ufisadi, ila mahakama wakawa wanazipiga kalenda mpaka Magu kwenye tukio la mahakama kutimiza miaka mia Magu aliomba zile kesi za ufisadi zisikilizwe na zisizungushwe kwani kupitia zile kesi Magu alikadilia serikali ingerudisha zaidi ya Trilioni 300.Hata kama serikali isingepata hizo 300tr sizani kama ingekosa 50tr.Kikwete na wanamtandao wenzao walishikwa mfukoni uchumi ukahamia mifukoni mwa matapeli! Ilifia hatua serikali ilikopa hela kwa watu binafsi kulipa mishahara!
Magufuli ndo aliididimiza zaidi nchi kwa kutumia theories zilizoshindwa kwa wengine!
Swali ni jee, hizi data tunazopewa na TRA na BoT zinapikwa? Hakuna reflection katika real life juu ya kinachohubiriwa na hao watu.
Hiyo paragraph ya mwisho hata mimi huwa na jiuliza yule Kimei ana sifa zote nikitizama alipo itoa CRDB sina shaka juu ya uwezo wake.Nimemsikia Leo Mabeyo anasema kabla ya Magufuli kukataa roho aliitwa Mzena akaambiwa Hali mbaya, Magufuli naye akamwambia Mabeyo wewe ni CDF waamuru haw wanirudishe nikafie nyumbani siwezi kupona.
Baada akaomba aitiwe paroko wake wa Saint Peters oysterbay na Kardinali Pengo.
Baadaye ya kukata roho Mabeyo ndiye aliyeambiwa, akamuita waziri mkuu na Bashiru wakaulizana Nani anapaswa kutangaza ikabidi waangalie katiba, hapo Mama aliwekwa pembeni na Mabeyo.
Hadithi hii inatufundisha Mabeyo alipewa fursa na Mungu kuwakombowa Watanzania lakini alishindwa kuitumia.
Kuyaondowa haya mashetani ya CCM itatuchukuwa muda Sana.
Hivi Una mtu kama Dr Kimei na hayumo kwenye cabinet umejaza Wahuni na machawa tu, mnatarajia unafuu upi wa Maisha?