Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Mwenzio kakataa kuvaa jezi yenye kusapoti ushoga na sababu ni imani yake ya dini, sasa nakuuliza wewe sababu yako ni ipi au ndio kwa sababu wewe ni mwanaume tu?Kabla sijakujibu, una marinda? Nisijekuwa napoteza muda kukujibu.
Sababu Ni Mimi nimekataaa, Sasa wewe unataka sababu gani?Mwenzio kakataa kuvaa jezi yenye kusapoti ushoga na sababu ni imani yake ya dini, sasa nakuuliza wewe sababu yako ni ipi au ndio kwa sababu wewe ni mwanaume tu?
Mbona unaona ajabu mwenye kupinga ushoga kwa kigezo cha dini?Sababu Ni Mimi nimekataaa, Sasa wewe unataka sababu gani?
Muislamu kumzidi Boss wake maana yake nini?ukishakuwa muislamu imani uliyonayo ni wewe na Mungu wako,anaweza akawa anamzidi ndio,ila anayejua ni Mungu pekee,imani haina hatimiliki.Ina maana yeye ni muislamu kumzidi bosi wake yule shehe kutoka uarabuni,mmiliki wa timu??..waafrika tuna matumizi mabaya ya akili..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona rangi za ki JAH tuu..
ajione km amevaa rastafarian tuu.
africa sio kuzuri jamani.
bora uwe popo ulaya kuliko mtu africa.hahaha
Vipi hiyo dini ikiruhusu?Mbona unaona ajabu mwenye kupinga ushoga kwa kigezo cha dini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee jaman, khaaaahKwa jinsi jambo hili lilivyokwenda viral nilitegemea mabilionea wakiarabu wangempa support dogo kwa kumuambia shikilia msimamo wako usihofie kuhusu kupoteza kazi, sisi tutaku fadhili mamilioni ya pesa kwa kulinda misingi ya dini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na wakisha kupeleka Jela, lazima wakudunge sindano ya kukutia ushoga, na wwe mwenyewe ndiyo utaanza kutafuta mabasha wa kukuna Tigo!! Wazungu nyokoo sana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] ila watu khaaahHeri yake anapinga ushoga kwa vitendo. Ni bora akose hele za mashoga leo, kwa imani yake atapewa wanawake 72 akhera, wote mabikira.
Na ndio maana nikakuuliza kwani wewe sababu ya kupinga ushoga ni ipi ila huna sababu umepinga tu, hivyo ipo siku unaweza ukaja kukubali ushoga bila sababu pia.Vipi hiyo dini ikiruhusu?
Akili kubwaaaa sana wee.Huyo bwege ningemuona wa maana Kama angekataa yeye mwenyewe bila kuhusisha dini,
maana dini zenyewe tumeletewa sasa vipi Kama dini yake ingekuwa inaruhusu kutatuliwa nadhani angekuwa Hana marinda.
Mimi nakataa ushoga bila kuhusisha chochote. dini zikikubali au bwege yoyote akubaliane na ufala huo...
my judgement is still stands
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoga huyoo alijua akivaa atakua amekubal kupigwa pipe
Na atajua mbivu na mbichi, tena kapewa na choice ya kurudi Africa, hapo ashindwe yeye tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mara ya kwanza alikuwa majeruhi sio kama alikataa ila ya sasa mzima wa Afya na alikuwa kwenye list ya wachezaji waliotakiwa kuanza, kaweka msimamo wa kiduanzi angefikilia alipo toka tu angetumia msimamo wa mtumikie kafiri ili mambo yako yaende maana akiferi hata aliokuwa akiwasaidia watamkana tu afrika tunajuana
ACHUKUE HIYO HELA AKAJENGEE MSIKITIView attachment 2234299
Katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.
Mchezaji wa PSG (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.
Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi Afrika.
Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .
Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.
wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.