Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

Chukua mpunga huo wa 200M hao wanaopigana miti watajuana wenyewe na Mungu wao
Nalog off Z
 
Kabla sijakujibu, una marinda? Nisijekuwa napoteza muda kukujibu.
Mwenzio kakataa kuvaa jezi yenye kusapoti ushoga na sababu ni imani yake ya dini, sasa nakuuliza wewe sababu yako ni ipi au ndio kwa sababu wewe ni mwanaume tu?
 
Mwenzio kakataa kuvaa jezi yenye kusapoti ushoga na sababu ni imani yake ya dini, sasa nakuuliza wewe sababu yako ni ipi au ndio kwa sababu wewe ni mwanaume tu?
Sababu Ni Mimi nimekataaa, Sasa wewe unataka sababu gani?
 
Ina maana yeye ni muislamu kumzidi bosi wake yule shehe kutoka uarabuni,mmiliki wa timu??..waafrika tuna matumizi mabaya ya akili..
Muislamu kumzidi Boss wake maana yake nini?ukishakuwa muislamu imani uliyonayo ni wewe na Mungu wako,anaweza akawa anamzidi ndio,ila anayejua ni Mungu pekee,imani haina hatimiliki.
 
Duuh!! Mwamba analipwa M200 kwa wiki kwa hali hii ya kiuchumi ilivyo ngumu africa sizani kama atakubali kuendelea kushikilia imani yake pesa kitu kingine bro.
 
Maamuzi n yake aidha Pesa au Imani yake.
Atachagua hapo kipi ni sahihi kwake. Lol.

DJ waleteeeeeeeeeeee, [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
mbona rangi za ki JAH tuu..
ajione km amevaa rastafarian tuu.
africa sio kuzuri jamani.
bora uwe popo ulaya kuliko mtu africa.hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa jinsi jambo hili lilivyokwenda viral nilitegemea mabilionea wakiarabu wangempa support dogo kwa kumuambia shikilia msimamo wako usihofie kuhusu kupoteza kazi, sisi tutaku fadhili mamilioni ya pesa kwa kulinda misingi ya dini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee jaman, khaaaah
 
Na wakisha kupeleka Jela, lazima wakudunge sindano ya kukutia ushoga, na wwe mwenyewe ndiyo utaanza kutafuta mabasha wa kukuna Tigo!! Wazungu nyokoo sana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Heri yake anapinga ushoga kwa vitendo. Ni bora akose hele za mashoga leo, kwa imani yake atapewa wanawake 72 akhera, wote mabikira.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] ila watu khaaah
 
Huyo bwege ningemuona wa maana Kama angekataa yeye mwenyewe bila kuhusisha dini,
maana dini zenyewe tumeletewa sasa vipi Kama dini yake ingekuwa inaruhusu kutatuliwa nadhani angekuwa Hana marinda.

Mimi nakataa ushoga bila kuhusisha chochote. dini zikikubali au bwege yoyote akubaliane na ufala huo...
my judgement is still stands
Akili kubwaaaa sana wee.
 
Mara ya kwanza alikuwa majeruhi sio kama alikataa ila ya sasa mzima wa Afya na alikuwa kwenye list ya wachezaji waliotakiwa kuanza, kaweka msimamo wa kiduanzi angefikilia alipo toka tu angetumia msimamo wa mtumikie kafiri ili mambo yako yaende maana akiferi hata aliokuwa akiwasaidia watamkana tu afrika tunajuana
Na atajua mbivu na mbichi, tena kapewa na choice ya kurudi Africa, hapo ashindwe yeye tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
View attachment 2234299


Katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.

Mchezaji wa PSG (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.

Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi Afrika.

Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .

Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.

wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.
ACHUKUE HIYO HELA AKAJENGEE MSIKITI
 
Back
Top Bottom