Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

rangi (rainbow) kuhusishwa na ushoga unazungumziaje?
 
Kupakuliwa wapakuliwe wengine eti mimi niache hela kisa kupinga wasipakuliwe!!! Acha wapigwe paipu hadi wapararalizi
 
Kumbe timu nayo inamilikiwa sheikhe....??? msikiti umeuzwa!!! Sheikhe nae anapenda nyama ya mafuta
 
Huyu angepata ushauri wa JK: si kila kitu cha kukivalia njuga: vingine unaacha vipite tu. None of your business. Utakimbilia wapi dunia hii ya ultra-liberals? Ingekuwa yeye ndio analazimishwa kuwa shoga hilo neno. Rangi za rainbow tena bila maandishi haziwezi kutibua imani yako if you’re strong.

Hapa kwetu wapo waliopiga parapanda dhidi ya ushoga walipobanwa na mabeberu ilibidi Waziri wa Foreign atumwe haraka kukanusha na kuwahakikishia watalii mashoga kuwa wanakaribishwa sana Tanzania na kwamba hawatabugudhiwa! Janga zaidi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa wakisoma hapa wabongo, utaona mapovu yao juu yako.
 
Mi wangekuta tu nimeshawaachia mshahara wao nipo zangu Africa. Utu wangu ni wa thamani kuliko fedha. Pesa ipo kwa ajili ya kunitumikia mimi na utu wangu na siyo kinyume chake. Halafu ningemsubiri wa kuleta fyoko fyoko. Angepata cha kusimulia vizazi vyake!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…