Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

Pesa ni Shetani; Mchezaji aliyekataa kuvaa jezi ya kuunga ushoga alazimishwa kuchagua kati ya mshahara wa milioni 200 kila wiki ama kurudi Afrika

Hili jambo ni mtambuka sana ,Qatar wenyewe wamekubali kulinda mashoga na haki zao (ushoga kwa ujumla) katika kipindi chote za world cup . Kwa mantiki hii mtu mwenye imani hakutakiwa ku support w.cup kwa njia yoyote ile ikiwemo kutazama hii michuano .
 
Ili zimpeleke kuzimu?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Mwenye team yake hana nongwa,halafu ukizingatia huyu ndio aliekuletea hii dini unayoiabudu leo
JamiiForums1100500701.jpg
 
Ushoga hatuwezi kuupinga Completely sisi africans ni wanafiki haswa na Pengine kuna mambo yanazoeleka na jamii slowly inshu ya ushoga kwa wenzetu sio inshu ndo mana iko publiced
 
Ushoga hatuwezi kuupinga Completely sisi africans ni wanafiki haswa na Pengine kuna mambo yanazoeleka na jamii slowly inshu ya ushoga kwa wenzetu sio inshu ndo mana iko publiced
Tatizo kutumika nguvu kuufanya ushoga uonekane ni kitu cha kawaida.
 
View attachment 2234299


Katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.

Mchezaji wa PSG (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.

Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi Afrika.

Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .

Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.

wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.

Amekata kuvaa jezi ya kuunga mkono ushoga jamaa ana imani ya nguvu sana Mungu amsaidie amin.



Download
720
 
lakini kuna mkataba wa kufanya kazi ya kucheza mpira iliyomfanya aajiriwe, ikiwa ni pamoja na kuvaa jezi za mazoezi, away na home games. Au ulitaka acheze uwanjani na jezi yenye rangi tofauti na waliyovaa wenzake? 😁
Rangi hiyo hiyo isiyo na nembo ya mashoga.
 
Rainbow ni nembo ya mashoga, ndo aliyokataa.....hajakataa jezi.
Kwa hiyo rainbow ikitokea angani unajificha? Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa maagizo ya kuvitawala vitu vyote. Sasa hapa watu mnataka hata rangi za upinde wa mvua zitutawale, kwamba ukionekana nazo basi ni jambo baya! No, haiwezekani hata kidogo. Rangi zitutii wanadamu, sio wanadamu tuzitii rangi

1653508050540.png
 
Ushoga hatuwezi kuupinga Completely sisi africans ni wanafiki haswa na Pengine kuna mambo yanazoeleka na jamii slowly inshu ya ushoga kwa wenzetu sio inshu ndo mana iko publiced
Ubaya wake sasa, hawana uwezo wa kuupinga wala kuuzuia, wanaishia kulia mitandaoni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo rainbow ikitokea angani unajificha? Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa maagizo ya kuvitawala vitu vyote. Sasa hapa watu mnataka hata rangi za upinde wa mvua zitutawale, kwamba ukionekana nazo basi ni jambo baya! No, haiwezekani hata kidogo. Rangi zitutii wanadamu, sio wanadamu tuzitii rangi

View attachment 2238678
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom