OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
No money no love wahenga walisema.Mnasemaga TAFUTA PESA, wengine WE MPE HELA, YAANI WE MPE HELA TU.
Mtu anayejiamini hawezi kutoa pesa yake hovyo hovyo, mtu anayejiamini anashawishi na kuheshimu pesa yake.
Ukiona unahonga sana ili upendwe jua wewe ni dhaifu, wajanja wanakula pesa zako
Povu ruksa
Kweli kabisaKila mtu ashinde mechi zake
Unatakiwa kushukuru sana kama umebarikiwa kupata hiyo akili.Mnasemaga TAFUTA PESA, wengine WE MPE HELA, YAANI WE MPE HELA TU.
Mtu anayejiamini hawezi kutoa pesa yake hovyo hovyo, mtu anayejiamini anashawishi na kuheshimu pesa yake.
Ukiona unahonga sana ili upendwe jua wewe ni dhaifu, wajanja wanakula pesa zako
Povu ruksa
Hao wahenga wenu walikuwa mazumbukukuNo money no love wahenga walisema.
Hao mnaowapa mamilion kuna watu wanawatia bila kuwapa hata hela ya vocha.Mkuu Kama kwako ni rahisi kutoa buku bhasi kuna mtu kutoa milioni ndio buku yake. Tutafute Tu hela jamaa
Zumbukuku kwenye eneo lipiHao wahenga wenu walikuwa mazumbukuku
Kuliwa pesa zao kisa mbususuZumbukuku kwenye eneo lipi
Torvic the virusTrue.
i connect arm the topic
Na wewe sii umepata utamu wa mbususuDem amekula sana pesa yangu ni ela ya boda ya kuja na kurudi kwake..