Pesa ni shortcut ya kumpata mwanamke, lakini kuhonga ni kujaribu kuficha udhaifu

Pesa ni shortcut ya kumpata mwanamke, lakini kuhonga ni kujaribu kuficha udhaifu

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Mnasemaga TAFUTA PESA, wengine WE MPE HELA, YAANI WE MPE HELA TU.

Mtu anayejiamini hawezi kutoa pesa yake hovyo hovyo, mtu anayejiamini anashawishi na kuheshimu pesa yake.

Ukiona unahonga sana ili upendwe jua wewe ni dhaifu, wajanja wanakula pesa zako

Povu ruksa
 
Mnasemaga TAFUTA PESA, wengine WE MPE HELA, YAANI WE MPE HELA TU.

Mtu anayejiamini hawezi kutoa pesa yake hovyo hovyo, mtu anayejiamini anashawishi na kuheshimu pesa yake.

Ukiona unahonga sana ili upendwe jua wewe ni dhaifu, wajanja wanakula pesa zako

Povu ruksa
No money no love wahenga walisema.
 
Sisi tunawafaidi na hatuwapi pesa labd ya guest, pesa ninatafuta kwa ajil yngu
 
Mnasemaga TAFUTA PESA, wengine WE MPE HELA, YAANI WE MPE HELA TU.

Mtu anayejiamini hawezi kutoa pesa yake hovyo hovyo, mtu anayejiamini anashawishi na kuheshimu pesa yake.

Ukiona unahonga sana ili upendwe jua wewe ni dhaifu, wajanja wanakula pesa zako

Povu ruksa
Unatakiwa kushukuru sana kama umebarikiwa kupata hiyo akili.

Wengi wanahangamia kwa kukosa hayo MAARIFA.
 
Back
Top Bottom