britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kuna kakikundi kalikoaminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana.
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hayo mambo hayakuhusu?🤔🤔🤔🤔Maweeee kumbe ni jukwaa la siasa.....
Am sorry.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Loo! Haka kakikundi kalikokuwa kanaongozwa na jiwe haka kameliibia sana taifa.Huko mbali sana,pesa ziko kwenye akaunti ya Nyanza Construction na Mayanga Construction zaidi ya trilioni 2
Kwa hiyo hayo mambo hayakuhusu?🤔🤔🤔🤔
Ndiyo maana napigania iwepo siku ya kitaifa ya kulichapa viboko kaburi la ChatoKatika vitu nachukia sana ni kuwa na Rais ambaye anasema anaipigania nchi kumbe ni mwizi au anashirikiana na wezi.
Rais wa awamu ya tano ndiyo kaiba. Wengine walikuwa wazlendoni vyema tukaanza kukusanya zote kuanzia awamu ya kwanza, ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano na hii ya sita pia.
Watanzania tunapaswa kuungana kupigana hii vita na sio kuwa mashabiki wa wanasiasa wa Tanzania ambao wote awamu zoote tabia ni zilezile..
Loo! Haka kakikundi kalikokuwa kanaongozwa na jiwe haka kameliibia sana taifa.
Weye na mahaba tu!Kama ni hivyo,usiwapende wanasiasa,hela zao na siasa zao.Nashindwa kuelezea ila......... 🙌🙌🙌🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️