makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Awamu ya pili mpaka hii ya 6 yote ni mijizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete ushahidi,vinginevyo huu ni udaku tu kamba mwingine.Why should we believe you.Kuna kakikundi kalikoaminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Mbona mnaongea mambo bila ushahidi wowote?Please please,huu ni uzushi and typical of the Devil.Ukileta tuhuma kama hizi,it is only sensible that you also bring evidence.Lete ushahidi mkuu wa tuhuma zako,otherwise stop it.Awamu ya tano iliiba hela kuliko awamu zote,kumbuka mpwa wa mwenye nchi aliwekwa kwenye kitengo cha pesa,ni awamu pekee ambayo ikulu ya nyumbani kwa Rais wa nchi ilitumika sana mpaka marais kutoka China,Uganda,Rwanda na Kenya kufanya ni sehemu ya mikataba ya kisirisiri,na hata chaguzi za 2019 na 2020 zilionyesha kuwa Tanzania kuna matatizo mahali maana wale wote waliogombea kwenye vyama vingine vya siasa hawakujua kusoma na kuandika isipokuwa wagombea wa ccm.Watu hawapambani moja kwa moja na marehemu bali wanapambana na maozo ya marehemu ambayo yanagharimu usalama wa nchi.
Ushahidi wa kwanza ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020,ushahidi wa pili ni ujenzi wa Ikulu Chato Wilayani badala ya makao Makuu ya mkoa Geita na ujenzi wa Uwanja wa Kimataifa Chato,sema mengine tukupe.Mbona mnaongea mambo bila ushahidi wowote?Please please,huu ni uzushi and typical of the Devil.Ukileta tuhuma kama hizi,it is only sensible that you also bring evidence.Lete ushahidi mkuu wa tuhuma zako,otherwise stop it.
Tabia hii ovu inaonyesha wazi kwamba kuna chuki binafsi au huna uhakika na ulichoandika.
Unajua, ninyi watu mna shida kubwa.Mtindo huu wa kuendelea kumshambulia Magufuli wakati ameshakufa, na hayupo unatuhakikishia jambo moja,you are afraid of his legacy on Tanzanians,and so you want to erase it.Lakini niwaambie hivii,hamtaweza.Magufulis' legacy will leave on in the minds of Tanzanians for a very long time to come.He was the only President who told Tanzanians the truth and who did what Tanzanians wanted.The rest ni magumashi tu.
He was a liar and a terrorist man.Mbona mnaongea mambo bila ushahidi wowote?Please please,huu ni uzushi and typical of the Devil.Ukileta tuhuma kama hizi,it is only sensible that you also bring evidence.Lete ushahidi mkuu wa tuhuma zako,otherwise stop it.
Tabia hii ovu inaonyesha wazi kwamba kuna chuki binafsi au huna uhakika na ulichoandika.
Unajua, ninyi watu mna shida kubwa.Mtindo huu wa kuendelea kumshambulia Magufuli wakati ameshakufa, na hayupo unatuhakikishia jambo moja,you are afraid of his legacy on Tanzanians,and so you want to erase it.Lakini niwaambie hivii,hamtaweza.Magufulis' legacy will leave on in the minds of Tanzanians for a very long time to come.He was the only President who told Tanzanians the truth and who did what Tanzanians wanted.The rest ni magumashi tu.
Lete evidence,these are empty words.He was a liar and a terrorist man.
Ujenji? Kumbe alijenga vitu vinaonekana,tenakwa faida ya Watanzania.Nilidhani utasema alifanya vitu kwa faida ya familia yake,kumbe ni kwa faida ya Watanzania,this is rubbish.Ushahidi wa kwanza ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020,ushahidi wa pili ni ujenzi wa Ikulu Chato Wilayani badala ya makao Makuu ya mkoa Geita na ujenzi wa Uwanja wa Kimataifa Chato,sema mengine tukupe.
An empty words for those who believed in theft.Lete evidence,these are empty words.
Faida gani kila siku mnamlilia Samiah kuwa maisha yamekuwa magumu kumbe ni wizi wa ule mzee aliofanya mpaka akaacha hazina empty kabisa.Ujenji? Kumbe alijenga vitu vinaonekana,tenakwa faida ya Watanzania.Nilidhani utasema alifanya vitu kwa faida ya familia yake,kumbe ni kwa faida ya Watanzania,this is rubbish.
Akili yako wewe imejaa makamasi,nimesema lete ushahidi,or else shut up.Faida gani kila siku mnamlilia Samiah kuwa maisha yamekuwa magumu kumbe ni wizi wa ule mzee aliofanya mpaka akaacha hazina empty kabisa.
Ila imejaa kinyesi.Akili yako wewe imejaa makamasi,nimesema lete ushahidi,or else shut up.
Yes,possibly akili yako imejaa kinyesi,kwa kuwa unaropoka ropoka tu.Ila imejaa kinyesi.
Ni kweli kama zipo wakazichukue maana sheria inasema mwenye kuiba na mwenye kuhifadhi vitu vya wizi na yule atakayeficha taarifa za huyo mwizi naye atakuwa ameshiriki kwenye huo uhalifu !! Kama zipo mahali popote zifuatwe vinginevyo ni uzushi tu !Sasa si ukazichukue
Kuna Clip ilitembea sana humu ikidai JK kaficha mapesa kibao kile Malaysia,hii imekaaje!Kuna kakikundi kalikoaminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Na ukapimwa hiyo akili yako ili kinyesi kipungue kichwani mwako.Yes,possibly akili yako imejaa kinyesi,kwa kuwa unaropoka ropoka tu.
Zinahama kulingana na mahitaji ya mtoa postSi walisema zipo China?
Mimi tena, wewe unayeleta vitu bila evidence JF,si ndiye ukapimwe!? Vituko hivi,hata AI inakuzidi in logic mara million I moja(1,000,000)!Na ukapimwa hiyo akili yako ili kinyesi kipungue kichwani mwako.
Siwezi pimwa na wapumbavu wanaoamini katika uchawi na kujifukiza,wanaoamini katika chuki na dharau.Wanaoamini katika ukabila na ukanda,wanaoamini maendeleo ni kujenga kwao,wanaoamini katika nafsi badala ya mfumo.Mimi tena, wewe unayeleta vitu bila evidence JF,si ndiye ukapimwe!? Vituko hivi,hata AI inakuzidi in logic mara million I moja(1,000,000)!
Watanzania hawa hawa au!!!ni vyema tukaanza kukusanya zote kuanzia awamu ya kwanza, ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano na hii ya sita pia
Watanzania tunapaswa kuungana kupigana hii vita na sio kuwa mashabiki wa wanasiasa wa Tanzania ambao wote awamu zoote tabia ni zilezile..