Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

Haaa haaaaa.Ila Watu wanadhani wewe sio mtu wa kawaida.Robot..nihakikishie Na unawezaje kuwa 'be the first to reply. Kwa nyuzi nyingiiiiii?
Sio kila nyuzi, ni baadhi tu kadiri nipatapo alert
 
Amanda bado unatoa ule mchezo nije namm
 
Katika mapenzi na hata kuwa katika ndoa ni lazima mwanamke umridhishe kitandani na uhakikishe anapata mahitaji yake yote muhimu,
Kama kuna kimojawapo hukitimizi jua kuna mtu anakusaidia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115]
Usicheke mkuu ndio wenzetu hao bhana wao wanajiona wanaakili zaidi ya muumbaji wao mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pesa ni chachandu tuu kwenye mapenzi ..ila uwe na pesa uwe mbovu kitandani na kibamia chako wallah utagongewa sana
Mungu wangu.... Kwahyo na sisi wenye vibamia tufanye nini[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Safi... Uje nikupe io zawad sasa, wiki mzima nkukune mkuu
 
Mashine hiyo ya kusaga mashine ya kushona au mashine ya kunyelea ndevu!?!
 
Mna mashine ngapi tufungue kiwanda?
 
Wewe km mwanaume ukijijua nini unataka kwenye mapenzii vivyo hivyo utajua anachotaka mwenza wako
 
Umekurupuka hujaelewa mtoa mada anachomaanishaaa
 
Kabla hamjafikishana huoni kuna mengi ya kumvutia na minoti, kauli, haiba n.k ni sehemu ya uamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…