Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Sio kila nyuzi, ni baadhi tu kadiri nipatapo alertHaaa haaaaa.Ila Watu wanadhani wewe sio mtu wa kawaida.Robot..nihakikishie Na unawezaje kuwa 'be the first to reply. Kwa nyuzi nyingiiiiii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila nyuzi, ni baadhi tu kadiri nipatapo alertHaaa haaaaa.Ila Watu wanadhani wewe sio mtu wa kawaida.Robot..nihakikishie Na unawezaje kuwa 'be the first to reply. Kwa nyuzi nyingiiiiii?
Mmmmh....OK..kawajibu.Watu wamekufungulia Uzi.Sijui uliona????Sio kila nyuzi, ni baadhi tu kadiri nipatapo alert
Ndio niliuona lakini sio lazima kila uzi niwepoMmmmh....OK..kawajibu.Watu wamekufungulia Uzi.Sijui uliona????
Cku hizi wanataka ule na tigo
Poa..Ila ungewajibu kuondoa utataNdio niliuona lakini sio lazima kila uzi niwepo
Usicheke mkuu ndio wenzetu hao bhana wao wanajiona wanaakili zaidi ya muumbaji wao mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115]
Ndio maana watu wanasema Akili zao wanazijua wenyewe..hahahaUsicheke mkuu ndio wenzetu hao bhana wao wanajiona wanaakili zaidi ya muumbaji wao mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kabisa mkuu utampa mkwanja,atakutana na vijana msingi kiuno ila kwenye hand bag unamkuta na Dildo juu.Hawa ndg zetu tumeambiwa tuishi nao kwa akili mkuu....Ndio maana watu wanasema Akili zao wanazijua wenyewe..hahaha
Mungu wangu.... Kwahyo na sisi wenye vibamia tufanye nini[emoji35] [emoji35] [emoji35]Pesa ni chachandu tuu kwenye mapenzi ..ila uwe na pesa uwe mbovu kitandani na kibamia chako wallah utagongewa sana
Safi... Uje nikupe io zawad sasa, wiki mzima nkukune mkuuKwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Khaaa.... Ebu njoo PM kwanza.. Kuna jambo nataka nikuulize we dada[emoji15] [emoji15]Na ujue kuutumia vizuri huo mtwangio
Kabisa hawaridhiki yaani hata uwape dunia yoteKabisa mkuu utampa mkwanja,atakutana na vijana msingi kiuno ila kwenye hand bag unamkuta na Dildo juu.Hawa ndg zetu tumeambiwa tuishi nao kwa akili mkuu....
Umekurupuka hujaelewa mtoa mada anachomaanishaaaKweli JF raha sana. Mama unatudanganya ati mashine ndo kila kitu. Naona umeona utuweke maboya tu. Tangu lini mwenye mashine kubwa akajulikana kwa kupita tu karibu na mwanamke?? Jaribu kwenda bank u droo mil 2 hivi za kurudisha kesho ili akaunti isije kuwa dormant. Ukipita karibu na vijisichana vya shule tuu utasikia shikamoo nyingi sana. Pita pale na ukwadu japo hogo la jang'ombe lininginie uone ka kuna hata mmoja atakuangalia. Ingelikuwa hivyo, tusingelikuwa na hao Mafutuhi na mafataki mitaani kwetu. Fweza ndo kila kitu. Mazishi ya tajiri utailinganisha na maskini mwenye hogo??
Kabla hamjafikishana huoni kuna mengi ya kumvutia na minoti, kauli, haiba n.k ni sehemu ya uamuziKwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....