Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thawa shogangu hio hapo mamaa mastoryEeh Ndio. Lakini rudisha avatar ya mwanzo hii sijaizoea..[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Alililililililiiiiiili. Hapo sawaThawa shogangu hio hapo mamaa mastory
huwezi kuelewa tunataka nini kama hujakaa chini na kuwaza kiundani sana usidhani pesa ndiyo kila kitu
Tehtehteh.. Pamoja sana mamy [emoji111] [emoji120]Alililililililiiiiiili. Hapo sawa
Sikubaliani na wewe 100%, google Mavuso or blesser in youtube you can learn something new.Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
hata kama hana hela?.au unamaanisha Marioo kwako poua?Mwanaume mashine
Basi olewa na omba omba nae si anajua kukuna alafu uje kutupa mrejesho hapaKwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Wewe unaongea kiuno? Pumbavu kabisa. Unawaza ngono ule mawe? Mwanamke mpenda ngono amtafute mwanaume mpenda ngono. Wenye akili zao wanawekeza ktk assets, wewe unajaza maji kwenye tenga! Amka kijana. Amka.Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Wewe unapenda ipi?tehe tehe tehe
pesa vs machine