Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

MWANAUME MASHINE MSAGA SUMU UMENIKOSHA SANA
 
hahaaaaaa nyinyi wanawake ni viumbe ninao wapenda sana coz hamjielewi hasa ni nini mnapenda, mara pesa, mara mashine n.k. na tutaendelea kuwatafuna na kuwatema km bigijii mpaka siku mtapokua na fikra pevu.
 
Usifananishe pesa na vitu vya kijinga,watu waligawana hadi za rambirambi shennzzz!!
 
Wee Maserati umekesha ama?? [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji15] [emoji15]
 
We inaonekana unapenda mkuno wa pesa na mkuno wa mwanaume..jiangalie..[emoji3][emoji3]
 
Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Sikubaliani na wewe 100%, google Mavuso or blesser in youtube you can learn something new.
 
Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....

Mashine gani sasa ya kusaga au kukoboa
 
Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Basi olewa na omba omba nae si anajua kukuna alafu uje kutupa mrejesho hapa
 
Kwa nini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.. Mwanaume mashine bhana.. Sifa ya mwanaume mashineee....
Wewe unaongea kiuno? Pumbavu kabisa. Unawaza ngono ule mawe? Mwanamke mpenda ngono amtafute mwanaume mpenda ngono. Wenye akili zao wanawekeza ktk assets, wewe unajaza maji kwenye tenga! Amka kijana. Amka.
 
Back
Top Bottom