Pesa ya China kwa Africa $50B kwa miaka 3 ni ndogo sana

Pesa ya China kwa Africa $50B kwa miaka 3 ni ndogo sana

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mradi mmoja tu wa Tanzania wa reli ni zaidi ya $10B sasa China kusema watawekeza $16.6B kwa mwaka kwa miaka 3 kwa Africa nzima ni kichekesho kwa nchi kubwa vile na haita badilisha chochote. China wanaimarisha vitu tu ambavyo vinawasaidia wenyewe kama kusafirisha shabba ya Zambia lakini hawajali kusafirisha watu! Tuache kusifia sifia na kusema ukweli mpaka sasa hii misaada haitutoi tuongeze uzalishaji wetu.
 
Mradi mmoja tu wa Tanzania wa reli ni zaidi ya $10B sasa China kusema watawekeza $16.6B kwa mwaka kwa miaka 3 kwa Africa nzima ni kichekesho kwa nchi kubwa vile na haita badilisha chochote. China wanaimarisha vitu tu ambavyo vinawasaidia wenyewe kama kusafirisha shabba ya Zambia lakini hawajali kusafirisha watu! Tuache kusifia sifia na kusema ukweli mpaka sasa hii misaada haitutoi tuongeze uzalishaji wetu.
Utaiokota barabarani? Kama wachina wasipotoa?

Kichekesho kwani pesa yako?

Wewe usiye kichekesho ukoo wako wote umewekeza shilingi ngapi hata kijijini kwenu tu?
 
Mradi mmoja tu wa Tanzania wa reli ni zaidi ya $10B sasa China kusema watawekeza $16.6B kwa mwaka kwa miaka 3 kwa Africa nzima ni kichekesho kwa nchi kubwa vile na haita badilisha chochote. China wanaimarisha vitu tu ambavyo vinawasaidia wenyewe kama kusafirisha shabba ya Zambia lakini hawajali kusafirisha watu! Tuache kusifia sifia na kusema ukweli mpaka sasa hii misaada haitutoi tuongeze uzalishaji wetu.
Ukiwa na kiu ya maji na kupewa bilauri moja ridhika japokuwa kiu yako ni ya kukatwa na jagi zima....

Mtu hujipangia chake mwenyewe....

#Nchi Kwanza[emoji7]

#China ni marafiki zetu [emoji7]

#Focac ever[emoji7]
 
Utaiokota barabarani? Kama wachina wasipotoa?

Kichekesho kwani pesa yako?

Wewe usiye kichekesho ukoo wako wote umewekeza shilingi ngapi hata kijijini kwenu tu?
Kichwa kigumu huyo....uelewa finyu...[emoji1787]
 
Mradi mmoja tu wa Tanzania wa reli ni zaidi ya $10B sasa China kusema watawekeza $16.6B kwa mwaka kwa miaka 3 kwa Africa nzima ni kichekesho kwa nchi kubwa vile na haita badilisha chochote. China wanaimarisha vitu tu ambavyo vinawasaidia wenyewe kama kusafirisha shabba ya Zambia lakini hawajali kusafirisha watu! Tuache kusifia sifia na kusema ukweli mpaka sasa hii misaada haitutoi tuongeze uzalishaji wetu.
Tume jadili sana humu wangine wamejibu nchi kwanza, hivi kweli mchina akupe pesa kizembe, lazima kuna opportunity cost, yaani wanawekeza ili kuwezesha kusafirisha bidhaa zao, lakini wewe, (nchi husika kwenye uwekezaji huo), utalipia uwekezaji huo. There are opportunity seekers, this is one of the traits of successful entrepreneurs, ni moja ya sifa muhimu ya mjasiriamali aliye fanikiwa
 
Mradi mmoja tu wa Tanzania wa reli ni zaidi ya $10B sasa China kusema watawekeza $16.6B kwa mwaka kwa miaka 3 kwa Africa nzima ni kichekesho kwa nchi kubwa vile na haita badilisha chochote. China wanaimarisha vitu tu ambavyo vinawasaidia wenyewe kama kusafirisha shabba ya Zambia lakini hawajali kusafirisha watu! Tuache kusifia sifia na kusema ukweli mpaka sasa hii misaada haitutoi tuongeze uzalishaji wetu.
Since when did beggers become chosers?
 
Wenzetu wanaweka maslahi ya taifa mbele, wanaingia mikataba kwa manufaa ya uchina na kizazi kijacho cha wachina.
Kwetu viongozi ni walafi, wachina wanajua hilo, ndio maana wanawahonga honga viongozi wa kiafrika, yao yanawaendea.
 
Wenzetu wanaweka maslahi ya taifa mbele, wanaingia mikataba kwa manufaa ya uchina na kizazi kijacho cha wachina.
Kwetu viongozi ni walafi, wachina wanajua hilo, ndio maana wanawahonga honga viongozi wa kiafrika, yao yanawaendea.
Afrika mtu anawaza 10% na mbaya zaidi pesa hiyo niya kula bata na kununua majumba ya kifahari Dubai.Hakika Afrika ni bara la kiza.
 
Back
Top Bottom