Pesa ya kununulia ndege ipo lakini ya kujenga madarasa hakuna

Tusipothibiti ongezeko la watu hakika tunakoelekea kama taifa ni giza ,mama naamini ataanza kampeni ya kuhimiza uzazi wa mpangoa kwa maana kwa hali iliyopo lazima serikali izidiwe kwa kila hali
 
Kumbe unajua elimu yako ni ndogo bado unabisha! Baki na Ungumbaro wako! Unadhani Kenya Airways inatengeneza faida TUUUU eti?? Pumbavv kabisa nyie ndio wale mnajaribu kila jambo mkishindwa unakimbia unajaribu tena kwingine ambapo napo unafeli tena! Mtabaki na vivutio vyenu na KENYA itazidi kuingiza watalii maradufu! Watanzania kama nyie mlipaswa kuhukumiwa kifungo cha maisha mkalime mashamba huko Jela
 
Pumbavu babaako na mamaako. Kwa hiyo Kenya Airways wakipata hasara hivyo ni sawa kwa ATCL kupata hasara? ZWAZWA mkubwa wewe!!!! Kwa akili yako fupi unadhani Watalii wanaokwenda Kenya wanatumia ndege za Kenya 😂😂😂😂mpuuzi kweli wewe JIONGEZE badala ya kuja humu kuonyesha UJUHA WAKO.

 
Pumbavu mkubwa wewe!!!
 
Madarasa ya FEZA SCHOOL, IST, HOPAC, KIDUNGILO, BARBA OHNSON yapo vizuri ambapo ndipo watoto wa kina Mwigulu wanasoma huko , sasa wewe unataka mnaposoma watoto wa maskini nako kukarabatiwe? Subiri ukuta ukiwaangukia watoto ndio ukarabati utafanyika.
 
Unajua kama Mwigulu Nchemba halipi kodi!?
Madarasa ya FEZA SCHOOL, IST, HOPAC, KIDUNGILO, BARBA OHNSON yapo vizuri ambapo ndipo watoto wa kina Mwigulu wanasoma huko , sasa wewe unataka mnaposoma watoto wa maskini nako kukarabatiwe? Subiri ukuta ukiwaangukia watoto ndio ukarabati utafanyika.
 
03Aug 2021
Maulid Mmbaga
Dar es Salaam
Habari
Nipashe
Utouh aunga mkono wabunge kukatwa kodi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh, amesema anaunga mkono hoja ya Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa na Hussein Bashe, kuhusu wabunge kukatwa kodi.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh.
Akizungumza jana katika mahojiano na kituo kimoja cha runinga, alisema miongoni mwa misingi mikubwa ya kodi ni usawa kwa kuwa kodi yoyote haitakiwi kuwa na matabaka ya watu.
“Tunalipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya nchi sasa hawa wabunge si wana kipato, wanapokea mshahara kwanini wasilipe kodi, mantiki ya hiyo haipo,” alihoji Utouh.
Julai 23, Mbunge wa Ukonga, Slaa, akihutubia wananchi katika jimbo hilo, alisema imefika hatua wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia wananchi na wao walipe kodi.
Pia Utouh alizungumzia nafasi ya CAG aliyowahi kuihudumia miaka kadhaa iliyopita kuwa nasafi hiyo ni nyeti na inamtaka mtu kuwa muadilifu ili kutende haki kwa sababu inabeba dhamana ya wananchi.
“Madhumuni ya ukaguzi ni kuleta maboresho, serikali ifanye vizuri zaidi kwahiyo mkaguzi ni mshauri mkuu wa serikali katika kuweka mambo sawa ili fedha na rasilimali za wananchi zitumike vizuri kwa maendeleo jamii.
“Mwaka 2012 baada ya ripoti yangu kutoka mawaziri wanane waliachia ngazi, kwasababu ya ile ripoti ilileta mtafaruku watu wakawa wanamwongelea CAG Utouh, lakini anayoyaripoti sio ya kwakwe ni vitu anavyokwenda kuviona katika ukaguzi wake,” alisisitiza Utouh.
Alisema yeye hakuwatoa mawaziri, lakini kwasababu ripoti yake ilianika yale yaliyokuwa ya ukweli, ndiyo iliwalazimisha kuwajibishwa.
Alibainisha kuwa mwaka 2007-8 vyama vya siasa vilikuwa vinatumia zaidi ripoti ya CAG kuichambua serikali, na ikafika mahali akashauri kuwa chama tawala kiachie vyama vya upinzani vitumie ripoti ya CAG kuikosoa serikali.
“Ilifika kipindi tukasikia mawaziri mizigo, ilikuja baada ya majadiliano, na chama tawala kikaanza kuitumia ripoti ya CAG kuikosoa serikali ambayo ni serikali yake, na hiyo ndiyo imekuwa kama utamaduni sasa,” alisema Utouh.
Pia alisema ripoti ya CAG haiandaliwi kwa ajili ya kumnufaisha mtu, inaandaliwa kwa dhumuni la kuweka bayana hali iliyopo ya utendaji wa serikali.
Alisema chama tawala kina wajibu wa kuisimamia serikali yake na kuhakikisha inatekeleza yale yaliyokisababisha chama kikachaguliwa kuingia madarakani.
“Serikali yoyote inayokumbatia ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma kwa kipindi kirefu haidumu itaanguka kwasababu wananchi hawataikubali.
Katika uchambuzi wa watu wanaopewa nafasi ya kusimamia rasilimali za nchi kuwe na uangalizi zaidi, je hawa tunaowapeleka wana maadili ya kufanya ile kazi, wana uwezo na ujuzi, ili majukumu wanayopatiwa wakayatimize kwa weledi,” alishauri Utouh.
Alisema uteuzi wowote mtu anaopata wa utumishi wa umma, anapaswa kujua kuwa hiyo ni dhamana aliyopewa inayomfanya awe mtumishi wa watu na si vinginevyo, kwa kuwa kuna baadhi ya watu wakishapata nafasi wanajiona wako juu, na hiyo ndiyo inaleta matatizo.

Madarasa ya FEZA SCHOOL, IST, HOPAC, KIDUNGILO, BARBA OHNSON yapo vizuri ambapo ndipo watoto wa kina Mwigulu wanasoma huko , sasa wewe unataka mnaposoma watoto wa maskini nako kukarabatiwe? Subiri ukuta ukiwaangukia watoto ndio ukarabati utafanyika.
 
Kuna eneo moja hivi huko ndani linaitwa Kafundikile nenda unaweza kutoa machozi [emoji24] kuna muda huwa naona serikali wanafanya mambo ya ki*seng* tu
 
Reactions: BAK
Bongo NYOSOOOO 😥😥😥
Your browser is not able to display this video.
 

Hatupoi..Serikali Kununua Ndege Nyingine Tano - mafekeche Udaku




Serikali kununua ndege nyingine 5
SERIKALI imesaini mkataba wa kununua ndege mpya tano, zikiwamo mbili za masafa marefu.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa alisema jana Dar es Salaam kuwa, kati ya ndege hizo za masafa marefu, moja ni ya mizigo na nyingine ya abiria.
Msigwa aliwaeleza waandishi wa habari kuwa, juzi serikali ilipokea ndege ya tisa kati ya 11 mpya na nyingine mbili zitaingia nchini kabla ya mwisho wa mwaka huu.
Alisema hayo wakati akitoa taarifa ya kipindi cha robo ya mwaka ya mwaka wa fedha kilichoanza Aprili na kuishia Juni, mwaka huu.
Msigwa alisema ndege ya masafa marefu itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 260.
“Tunanunua ndege nyingine mpya tano, ATCL wameshasaini mkataba na kampuni moja ya kutengeneza ndege, lengo letu tununue ndege kubwa ya masafa marefu moja na nyingine kubwa ya mizigo, tumepata soko hata la mazao na mbogamboga hivyo lazima tuwe na uhakika wa usafiri ili visiharibike,” alisema.
 
Reactions: BAK
😩😩😩😩😩
 
Mimi wakati ninasoma, wakati wa Nyerere tulipatiwa kila kitu na serikali: vitabu, mwabweni, chakula, na hata usafiri wa kwenda shule tulikuwa tunapwea karatasi inaitwa jina kama Government Warrant- sikumbuki sawasawa- ambayo vyombo vyote vya usafiri vilikuwa vinaiheshimu na kumfanya mwanafunzi asafari bure, serikali italipa baadaye, Madarasa yote yalikuwa na madawati- hakuna mwanafunzi aliyekuwa akiketi chini labda shule zile zilizokuwa zinaitwa "subu" yaani darasa kama la vichekechea vile ambao walikuwa wanaandika na kuchora chini kabla ya kuanza kutumia madafatari. Waalimu wengi walikuwa na ama pikipiki au magari ya kutokana na mishahara yao, ambapo vitu hivyo wakati huo vilikuwa ni adimu sana.

In the long run, ingawa lengo lilikuwa zuri, huduma hizo hazikuwa sustainable kwani uchumi ule ulianguka kwa kushindwa kuhimiri shock ya vita. Serikali inatakiwa kujenga misingi imara ya uchumi kabla ya kuanza kutuoa huduma za jamii kwa kiwango kikubwa. Katika kufanya hivyo, serikali inatakiwa ijenge miundombinu thabiti ili kuwarahisishia wananchi kujihusisha na shughuli za kiuchumi. Angalia China ilivyowekeza sana kwenye usafirishaji ndipo uchumi ukaanza kunyanyuka.

Kinachotakiwa kwetu siyo kupinga ujenzi wa barabara, madaraja, ununzi wa ndege na reli, bali tupinge matumizi yasiyokuwa ya lazima kama ukubwa wa bunge ambao wanalipwa mamilioni bila kufanya lolote la maana: Kila wilaya iwe na mbunge mmoja tu; serikali iache matumizi ya magari ya anasa yenye gharama kubwa, na ukubwa serikali pia upunguzwa. Iondoe nafasi za wakuu wa wilaya, na baraza la mawaziri lisizidi 15, halafu vyeo vya manaibu waziri vifutwe- Katibu mkuu anatosha.
 
Ee Mwenyezi Mungu naomba uturehemu sisi Watanganyika kwa upumbavu na ujinga wa kushindwa kuwajibika ipasavyo..
 
Reactions: BAK
Umeandika upuuzi.Ni sawa na kusema PESA ya godoro hakuna ila PESA ya kufungulia duka ipo.Hujui kwamba ndege ni uwekezaji?

Uwekezaji wa ndege zilizopark?
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…