Pesa ya Tanzania inatengenezwa na kampuni gani?

Pesa zote duniani zinafuata kanuni ya shirika la pesa duniani, huwezi ukatengeneza pesa kiholela. Kuna wakati sijui kama ni utani, Amin aliprint pesa kwa wingi, ndio maana uchumi uliporomoka na thamani ya pesa ikashuka.
 
Pesa ikiwa nyingi kitaa unaelewa madhara yake lakini? Tuanzie hapa kwanza...
 
Sio kweli, pesa za Tanzania zinachapwa nje ya nchi miaka yote.
BoT wanatengeneza kila kitu. But hyo issue iko chini ya uangalizi wa TISS ndo maana kuna propaganda eti fedha zinatengenezwa nje ya nchi.
 
De La Rue ni Public company iliyosajiliwa UK. Ilianza kutengeneza notes tangu Karne ya 18. Pia inatengezeza vitu vingine Kama makaratasi ya kuchapisha pesa, stamp, passport na kadhalika.

Ingawa hii ni kampuni ya UK lakini walipoteza mkataba wa kuchapisha passport za UK kwa kampuni ya France.

Hilo Kenya ni branch tu ya kuchapisha pesa za Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…